President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Sasa kwanini kila mkenya anarudia shule hiyo?Nimeweka shule nyingi tu - huo ulikuwa mfano wa shule tunazopost vs mnazopost so ilibidi lazima nipost shule ambazo zilikuwa zimeshapostiwa..
Wewe umeweka shule 5 tu. Nimezihesabu. Mwenzako kaja akazirudia hizo tano na akaongezea zingine sita. Je, kenya kuna shule 11 tu?
