chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
shule ya mfano ya serikali Dodoma under final touches
Yani hii.........................Umepigwa na bomba tayari
Au muulize St Andrews Turi na Rift Valley school zipo wapi?Kwani mombasa iko nairobi kondoo wewe
View attachment 2551733
Yani mnapost tu chochote bora shule. 😅 😅Istiqaama secondary school -Tanga
View attachment 2551583View attachment 2551585View attachment 2551586View attachment 2551587View attachment 2551588
Yani hii shule hata huku haijulikani lakini huwezi fananisha na huu upuzi mabongolala wameshinda wakipost humu. Hawa jamaa hii ligi hawaiwezi. 😅 Sasa hii ndio Chungchong anataka afananishe na huu uchafu hapa chini. 😅😅
tafuteni kitu kingine cha kushindana na Tanzania lakini sio kwenye shule, unganeni hata na Uganda uliosema ndio level yenu bado tunawapiga tu, mpaka sasa points ni Tanzania 10, kunyaland 1Yani hii shule hata huku haijulikani lakini huwezi fananisha na huu upuzi mabongolala wameshinda wakipost humu. Hawa jamaa hii ligi hawaiwezi. 😅 Sasa hii ndio Chungchong anataka afananishe na huu uchafu hapa chini. 😅😅
![]()
Yani tunapost ma Range Rover mkipost ma Probox na bado umakazana tu mmeshinda kisa unapostt picha nyingi. Yani chochote kile tu bora shule unatupa humu. 😅 😅tafuteni kitu kingine cha kushindana na Tanzania lakini sio kwenye shule, unganeni hata na Uganda uliosema ndio level yenu bado tunawapiga tu, mpaka sasa points ni Tanzania 10, kunyaland 1
Capitalists wenye kufa njaa tangu uhuru! Hawa ni "Hungerist" tu!We've failed here and there cause we're cApitaLIsts and you're coMmuNISts ....
Nye nye nye!
Funny how the communists are still better than you at CAPITALISM (which you'll LOVE to claim you are like it's an honour) in all the areas that matter.
CApitaliSTS and you can't even obtain the fundamentals that make up the foundation of the capitalist ideology you worship.
Idiots.
Bado nina shule zaidi ya 400 hapa, ninyi na hivyo vigofu vyenu 10 mlivyowekea kwa kurudiarudia ni uchafu mtupu na pumzi imekataYani tunapost ma Range Rover mkipost ma Probox na bado umakazana tu mmeshinda kisa unapostt picha nyingi. Yani chochote kile tu bora shule unatupa humu. 😅 😅
Nadhani shule hii itachoka kuwekwa hapa. Kila mkenya anaiweka. Hakuna shule my ngine?Yani hii.........................
![]()
![]()
Ipige hii bomba? Kichwa chacko timamu? 😅😅
![]()
![]()
![]()
Shule 400 uchafu tupu. Tukiamua kupost shule za kawaida humu si mtatoroka? Ikumbukwe Kenya kuna shule za upili 10,400 wakati Tanzania mnazo 5,200 pekee. Yani exactly nusu ya Kenya.Bado nina shule zaidi ya 400 hapa, ninyi na hivyo vigofu vyenu 10 mlivyowekea kwa kurudiarudia ni uchafu mtupu na pumzi imekata
Nimeweka shule nyingi tu - huo ulikuwa mfano wa shule tunazopost vs mnazopost so ilibidi lazima nipost shule ambazo zilikuwa zimeshapostiwa..Nadhani shule hii itachoka kuwekwa hapa. Kila mkenya anaiweka. Hakuna shule my ngine?
View attachment 2551888
Hizo 10k ziko wapi? au ndio hizo 5 mnazzopost toka juzi?Shule 400 uchafu tupu. Tukiamua kupost shule za kawaida humu si mtatoroka? Ikumbukwe Kenya kuna shule za upili 10,400 wakati Tanzania mnazo 5,200 pekee. Yani exactly nusu ya Kenya.
Mzee mbona unalia sana. Umeumia kujua Tanzania inashule bora kuliko kenya?Shule 400 uchafu tupu. Tukiamua kupost shule za kawaida humu si mtatoroka? Ikumbukwe Kenya kuna shule za upili 10,400 wakati Tanzania mnazo 5,200 pekee. Yani exactly nusu ya Kenya.
Halafu zote Nairobi 😂😂😂Mzee mbona unalia sana. Umeumia kujua Tanzania inashule bora kuliko kenya?
By the way. Shule zote mlizoweka zilijengwa miaka ya 1920s Serikali ya kenya haijajenga shule yoyote.