President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Siku Kenya wakiweza kuwa na kitu kama hiki. Nahama Africa
Unajifanya kipofu, sivyo? Hizo zigzag za brown from the main road ni nini kama sio vumbiKunyaland mtajifariji Hadi lini? 😁😁
This is Dar,Nionyeshe hizo Barabara za vumbi hapa 👇View attachment 2459706View attachment 2459707View attachment 2459708View attachment 2459709View attachment 2459710View attachment 2459711View attachment 2459712View attachment 2459713
You don' have malls. Nyinyi mko na maduka za kuuza mandazi na maziwaHaya majengo yamejaa hapa Bongo
Usipate shida Sana,hiyo Ni picha ya zamani Sana kwa Sasa mkeka umetandikwa Ni kila sehemuUnajifanya kipofu, sivyo? Hizo zigzag za brown from the main road ni nini kama sio vumbi
View attachment 2459795
Imagine this is the best road in tanzania.Unajifanya kipofu, sivyo? Hizo zigzag za brown from the main road ni nini kama sio vumbi
View attachment 2459795
Watu kama wewe ni wa kupuuzwa tu. Ushakosa jibu kutoka Dar ukaona ujifariji na vituko vya vijijiniKunyaland bwana huwa mnachekesha Sana 😂😂.
Mbamba Bay Town-Nyasa DCView attachment 2459756View attachment 2459757View attachment 2459758View attachment 2459759View attachment 2459760View attachment 2459761View attachment 2459762 This is not a City but is much more green than Nairobery,Ni Kati ya Miji yetu mingi ambayo Ni green Kama Arusha,Mbeya,Babati,Dar nk..
Kama ni ya zamani mbona uliipost hapa kilaza. Haya, basi tupe recent pictures za hiyo sehemu tuoneUsipate shida Sana,hiyo Ni picha ya zamani Sana kwa Sasa mkeka umetandikwa Ni kila sehemu
Nyeri bus stand is better than this.Hii stand ingekuwa Ni Kunyaland wangeita Air strip 😁😁.
Songea 👇View attachment 2459798View attachment 2459799View attachment 2459800View attachment 2459801View attachment 2459802View attachment 2459804View attachment 2459805
Aliyekuroga tayari alishakufa sijui kama utaweza kupona.You don' have malls. Nyinyi mko na maduka za kuuza mandazi na maziwa
Iko wapi au iko mdomoni kwako? 🤣🤣Nyeri bus stand is better than this.
This mall is owned by Botswana people 😂😂Aliyekuroga tayari alishakufa sijui kama utaweza kupona.
The one who cast a spell on you is already dead, I don't know if you will be able to recover.
Mlimani City shopping mall :: Mlimani City shopping mall
mlimanicity.co.tz
![]()
![]()
![]()
Mbona unataka kuanza vita yenye hata wenzako walishindwa na kusali amri mwishowe wakaja na visingizio eti malls sio culture ya watanzania? Kwamba nyinyi hununua vitu kwa maduka?Aliyekuroga tayari alishakufa sijui kama utaweza kupona.
The one who cast a spell on you is already dead, I don't know if you will be able to recover.
Mlimani City shopping mall :: Mlimani City shopping mall
mlimanicity.co.tz
![]()
![]()
![]()
Still under construction.Iko wapi au iko mdomoni kwako? 🤣🤣
Inakuuma sana mwanangu. Hiyo Mlimani City owned by University of Dar es salaam 70%. Kwani mbaya Mtu kutoka Botswana (SADC) akapata 30%?This mall is owned by Botswana people 😂😂
Kwahiyo issue ya Bridges and Buses umenyosha mkono tuanze malls?Mbona unataka kuanza vita yenye hata wenzako walishindwa na kusali amri mwishowe wakaja na visingizio eti malls sio culture ya watanzania? Kwamba nyinyi hununua vitu kwa maduka?
Na hata kwa markets pia tumewagonga. There's no sector of retail Tanzania is ahead of Kenya.Mbona unataka kuanza vita yenye hata wenzako walishindwa na kusali amri mwishowe wakaja na visingizio eti malls sio culture ya watanzania? Kwamba nyinyi hununua vitu kwa maduka?
We can't lower ourselves down to compete with you Kwa issues ya buses cause hizo buses zenu zinatengenezwa Kenya. It will be like fundi kubishana na customer wake.Kwahiyo issue ya Bridges and Buses umenyosha mkono tuanze malls?