Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

104,000 ksh lol
IMG_20171005_191939.jpg
 
Leo wacha nipromote Bakhresa. ...

Great drink though
689969cbf33b3676f3de6f51c6050ab9.jpg
ni jambo zuri ila naomba nikushauri tu.
usipendelee kunywa energy drink iwe ya tanzania, kenya au europe.

wataalam wanasema mchanganyiko unaotumika kutengeneza energy drink,una madhara makubwa kwa binadam.
 
Wow I just came across this picture...vipi wenzangu mnieleze kinachoendelea hapa tafadhali...sielewi mie😀😀😀😀🙄🙄🙄...
Africa-UN.jpg
 
Wow I just came across this picture...vipi wenzangu mnieleze kinachoendelea hapa tafadhali...sielewi mie😀😀😀😀🙄🙄🙄...
Africa-UN.jpg
Ni juzi tu mlikua kwenye rediyo red ni namba ya mpito, ata mnapoanza shule kila mtu hua na zero but usikivu wako na bidii ya kusoma ndio utakupa division Za juu
 
Ni juzi tu mlikua kwenye rediyo red ni namba ya mpito, ata mnapoanza shule kila mtu hua na zero but usikivu wako na bidii ya kusoma ndio utakupa division Za juu

Hii pia inamaanisha ni bora kuliko Angola? Noma sana .
 
Back
Top Bottom