Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Picha au vid ikionyesha mwanajeshi wa kibongo ameuliwa .?Kwanza hamna aibu your soldiers are killed by children?
Picha au vid ikionyesha mwanajeshi wa kibongo ameuliwa .?Kwanza hamna aibu your soldiers are killed by children?
Na WATOTO na mapanga.Picha au vid ikionyesha mwanajeshi wa kibongo ameuliwa .?
Tuonyeshe mkuu.Kwanza hamna aibu your soldiers are killed by children?
😁😁😁😃😃🙃
Huu ni uhuni sasa.
Drc wana karibu week 3 wanatishia m23 , tutawashambulia tutawashambulia tutawashambulia , hakuna lolote . Mngeuhonyesha uwanaume huo muliowapeleka Kule, sisi wenzenu 2013 tulienda kule hatukusema maneno MENGI m23 walipotezwa zaidi ya 1000+ tena tukatupia mpaka bom ndani ya BABA yao Mr PK, akalalamika tukapoteza askari mmoja tu.
Wazee wa uongo hao tumeshawazoeaTena hi wakasema breaking news😀😁😆😝
Na WATOTO na mapanga.
Nafikili Hajajua kuwa JWTZ 15 waliouwawa waliuwawa na jeshi la Rwanda , ilikuwa kagame alienda kulipiza kisasi, kutoka na operation ya 2013.Muambie watoto wa mapanga ndo hao M23.
Picha au vid ikionyesha mwanajeshi wa kibongo ameuliwa .?
Ndo mapanga hayo?
😁😁😁😃😃🙃
Huu ni uhuni sasa.
Drc wana karibu week 3 wanatishia m23 , tutawashambulia tutawashambulia tutawashambulia , hakuna lolote . Mngeuhonyesha uwanaume huo muliowapeleka Kule, sisi wenzenu 2013 tulienda kule hatukusema maneno MENGI m23 walipotezwa zaidi ya 1000+ tena tukatupia mpaka bom ndani ya BABA yao Mr PK, akalalamika tukapoteza askari mmoja tu.
Hao ndio waliuliwa na watoto wadogo carrying machetes.Ndo mapanga hayo?
Mwaka 2013 mkuu usichanganye , hio ni ya 2017? Tuliopoteza askari 15
Hiyo ni 2014 mlipoteza 15.Mwaka 2013 mkuu usichanga , hio ni ya 2017? Tuliopoteza askari 15
Bwana Good night maana wewe. Na log off rasmi huzi huu . Huna hoja , hata KDF hivi mnazo multiple rocket launcher. KweliHiyo ni 2014 mlipoteza 15.
KDF is the richest army in the region with the biggest budget. Your poor army can't do anything to them.Bwana Good night maana wewe. Na log off rasmi huzi huu . Huna hoja , hata KDF hivi mnazo multiple rocket launcher. Kweli
Naomba source ya link please?