Mambo ya uongo uongo kama haya ndio mnapenda, mna maisha magumu alafu mnajiongopea kwa vitu vya kipumbavu kabisa kama hivi. Malizeni njaa kwanza.
Hawa nawajua vizuri mzee hahah,
Nina wanangu wapo hapo naipori Wakijaga bongo Mimi huwa nawatembeza viwanja vya maana hapa bongo tunapiga gambe hadi saa nane usiku, halafu nasimamia tu show kawaida kabisa, ila nikiendaga aisee kila mmoja na excuse



Siku moja nikamkomalia mmoja nikamfuata sehemu moja chocho aisee anakunywa bia amejikunyata na makoti ya kizee, bia inanywewa Kwa mahesabu mama e aisee ,
Ila nawaelewa naipori ni mji stressful na harsh sana kwa maisha ya Mwana damu..
Halafu Huku mimi nasimamia show, nampa na ofa na tip mhudumu, tunakula mbuzi, halafu mipango yangu ya maendeleo inadonga smoothly pasi ya kukamia



Hawa wana maisha magumu sana.
Sema wana Vibe sana huwa nafurahi sana kuwa nao.
My take. Waache kuigiza uzungu na waishi maisha yao halisi.