Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimechoka kuvunga embu nipeni elimu namna ya kuhamishia video humu kuna mkeka wa madaraja ambayo yatajengwa mwaka huu wa fedha including la pale jangwani
Bonyeza hizo three dotes pembeni ya icon ya kuweka picha then kuna option itakuja hii👇
Screenshot_20221030-143722_1.jpg
halafu utabonyeza hio icon inayoonyesha camera then you will be able to drop your video . Kama inavyoonekana kwenye picha hapo ..
 
Hakuna demu atatoka tz akatiwe kenya kwa 6000 hahaha ni uwongo anko.... demu wa tz gharama ndogo kabsa utapata ni 20000... wee uligonga kichaa hukujua
Haya maisha haya ni hatari...

Elfu 6 mtu anatamba kachapa mali safi....

Kuna mirax chafu chafu tu local wanamiliki magari wanauza na kupigwa ndani ya magari yao kwa 20k za kibongo...

Akitaka mali classy ataweza ku afford kweli?
 
Haya maisha haya ni hatari...

Elfu 6 mtu anatamba kachapa mali safi....

Kuna mirax chafu chafu tu local wanamiliki magari wanauza na kupigwa ndani ya magari yao kwa 20k za kibongo...

Akitaka mali classy ataweza ku afford kweli?
Hahaha Noma sana
 
Nai-desert is always horrible and creepy, angalien ikiwa bila makeup, sidewalks seems luxury to this shithole slum,

Nauli umbali wa meters 700 ni Tsh 2000 no wonder pedestrians ni wengi barabarani 😂😂😂😂

Angalien hizo heaps of shit magari ya first world War 😂😂😂
Nashamgaa mbona watz most and even your President walipokuja Kenya hawakuona hivo!!
Even other countries,Nigeria,South Afrika, Ghana, Ethiopia,Rwanda,Burundi,Somalia,Uganda,every country in Afrika and out of Afrika knows Nairobi is beautiful😜more than Dar🚮😂😂😂
Sjaskia ata museveni ama kagame ama Prezo wa Burundi wakisema kitu ya maana kuhusu dar na watu yake!!!why???💩🇹🇿🚮🚮😂😂😂😂😂
 
Then afterwards millions of kunyalanders are shoved billions by Tanzanians on your own expense, keep breeding great seeds for us 😂😂😂😂


Don't forget those maize, beans and onions are farmed by Kenyans in Tanzania.
 
Back
Top Bottom