Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
south africans cant get enough of this shit...lol! if only they knew how many more skyscrapers are rising there...
wacha tu nikae kwa apartment tao na huku mansion yangu iko ocha... uswahilini kwa 'wapiga chabo' ni kwa akina LunaticTatizo la hawa jamaa zetu ushamba umewazidi, wanajifanya kupenda mambo ya kusadikika kama 'uzungu koko' wakati wao ni waafrika (Njonjo). Na hii ni hulka ya wakenya wengi.
Ukiwaambia kuwa sisi tunaona fahari kukaa kwenye nyumba zetu za kiswahili, wao wanaona kukaa kwenye apartments ndiyo maendeleo. Yaani ushamba ushamba tuu, wanajifanya kujua kiingereza wakati wengi wao matamshi yao mabovu, ukija kwenye kiswahili ndiyo balaa, wanajitia kimbele mbele eti wanazungumza kiswahili fasaha wakati hawakijui, ukiwasahihisha wanasema eti hii ni "sheng".
Ila, wale waliotembea kidogo huwa hawana huo ushamba wa kikenya, wanakuwa na tabia kama za kibongo (unyenyekevu).
To each his own.wacha tu nikae kwa apartment tao na huku mansion yangu iko ocha... uswahilini kwa 'wapiga chabo' ni kwa akina Lunatic
Ndege za kukopa hizo, zina wenyewe, unamringishia nani? Waswahili tuna kamsemo ketu, "cha mtu mavi, ukikiona kiteme mate".nataka mtz mmoja anioneshe ndege kama hii na si bombadier...akipata anitag 😀😀😀
![]()
watoe wapi....watakuletea maajabu ushtuke..anyway wakikuletea niite na mimissup Two Rivers? nahitaji mtz anioneshe mall kama hii...😀😀😀atakaye pata ani tag...
![]()
![]()
![]()
![]()
ulitukopea sio?😀😛😛😀 niltee ndege zenu basi nione😱😱Ndege za kukopa hizo zina wenyewe, unamringishia nani? Waswahili tuna kamsemo ketu, "cha mtu mavi, ukikiona kiteme mate".
😀😀😀😀😀watoe wapi....watakuletea maajabu ushtuke..anyway wakikuletea niite na mimi