Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
huu uzi
umebadilika na kuwa cartoon...wakenya wamewa chapa viboko mmeanza kumwaga hapa picha za construction sites...mnajaza hizi servers na uchafu
ndio nyinyi wavaa mlegezo wa dar kumbe.....hahaa
mtazamo wako huo....hivi huyo kwenye avator niwewe...heheee
Huyo boy anaka fala wa Tzmtazamo wako huo....hivi huyo kwenye avator niwewe...heheee
hapo hakuna mlegezo........kawaida tundio nyinyi wavaa mlegezo wa dar kumbe.....hahaa
we bado huja give up