Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

we kadoda leta vitu vya maana kama hivi
14482126_548128585380263_4016291551339610112_n.jpg
mbona nyumba zinafanana....ina maana wote wanaoishi kwa hizo nyumba,wanalipa rent kwa mtu mmoja?.

leta nyumba zisizofanana zinazo milikuwa na wakenya wa kipato cha kati hapo nairobi.
 
Zinafanana na kota za polisi kule Bomang'ombe Hai -Kilimanjaro

Nyumba za kujishkiza tu izo sijui uko kwenu Ndio mnaona mmefika
hahaaa...tulia dawa ikuingie.kama vile mnavyopenda kusema
 
ukitaka kuamsha hasira za wakenya wa Nairobi,ulizia kuhusu nyumba zao binafsi wanazomiliki...lazima watoe povu.
 
mbona nyumba zinafanana....ina maana wote wanaoishi kwa hizo nyumba,wanalipa rent kwa mtu mmoja?.

leta nyumba zisizofanana zinazo milikuwa na wakenya wa kipato cha kati hapo nairobi.
sababu zako peleka kule...kwani wanaoishi apo ni paka.....
 
Back
Top Bottom