NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
That
hahaha 😀😀😀😀😀😀😀 Juzi nimegundua mpaka hata tukijumlisha mashimo mnayofukua sasa hivi (Pinnacle na Montave na at least yaliyonyayuka ( avic) bado tumewazidi kwenye high rises at least buildings over 30+ floor. Je tukitoa hayo mashimo (4 towers) ambayo ni montave 1& 2 pinnacle ya 70 na 45. mnakuta manatembelea kichwa. halafu mna audicity kuongea ovyo ovyo. huwa nawashangaa kweli. Haina haja ya kutumia nguvu nyingi kusema wewe ni noma au upo juu, kama upo juu upo juu tu, lakini ukiona unasema upo juu na watu wanakubishia ujue bado unatembelea kichwaGorofa zinahesabika na vile huwa mnapiga kelele hapa