kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
msisitizo/emphasize :
ujumbe kwa wale ma-jobless na wakora wa nairobi:
nimewachapa bakora nyingi sana za kushtukiza kuanzia page ya 4039 - 4040.
kwa anayetaka kuamsha maumivu,apitie hizo page.
NB:
leo tupo busy site,tunajenga nyumba zetu binafsi za kuishi....hatutaki porojo wala makelele.
msisahau kuleta picha za mafundi wanaojenga pinnacle tower...tuone vile "wanakuwanga" wakiwa site.

ujumbe kwa wale ma-jobless na wakora wa nairobi:
nimewachapa bakora nyingi sana za kushtukiza kuanzia page ya 4039 - 4040.
kwa anayetaka kuamsha maumivu,apitie hizo page.
NB:
leo tupo busy site,tunajenga nyumba zetu binafsi za kuishi....hatutaki porojo wala makelele.
msisahau kuleta picha za mafundi wanaojenga pinnacle tower...tuone vile "wanakuwanga" wakiwa site.
