Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na hauwezi kuingia kwenye nchi ya viwanda bila kufanya mapinduzi kwenye kilimo.

Kunapokuwa na kilimo cha kisasa na mazao kuongezeka Kwa wingi ndio kunatengeneza nafasi ya kuibuka Kwa viwanda vidogo na vya Kati Kwa wingi ili kuchakata na kuhifadhi hayo mazao.
Honestly wakulima ni hard worker sana tatizo kubwa ni miundombinu na viwatilifu plus proper knowledge
 
Kwani unadhani gari ni nyanya zinauzwa kwa soko. 🤣🤣🤣 Mumezoea informal economy hadi hujui car manufacturers hutumia dealerships kuuza magari.
Ushaanza kupanic sasa siulikimbia humu ukaja na id nyingine 😂😂😂😂

Nilikwambia kwa east africa and central watu wanaojua kutumia pesa ni watanzania kwanzia bata mpaka majumba mpaka magari bisha tuone 😂
 
Pelosi, Biden and Harris are all clowns. 2024 is quick approaching waondoke, wameharibu dunia kwa vita
Clowns are chinese barking without moving an inch. Wanaoharibu dunia ni hao ambao ni non democracies.
 
Naongelea neighborhoods au barabara za mitaani au ninyi mnasema estates, kuna streets za Nairobi pana kama za Mtwara zenye solar powered lightning, drainage for storm water, marked with pedestrian sidewalks kama Mtwara?

Siongelei CBD
Nje ya cbd unawatoa kwenye reli hawana mji ni slums, pipeline na Gikomba style structures tuu
 
Alaf keshokutwa mutaskia kalenjin kashinda 😂😂😂 sisi yetu macho na kufunga mipaka tu ili mupasuane vizuri
 
FB_IMG_16595475023478088.jpeg
FB_IMG_16595474608706901.jpeg
FB_IMG_16595474699339732.jpeg
FB_IMG_16595474766846487.jpeg
 
Ndo akili za mama hizo anataka TAZARA iwe SGR. Labda wachina wajitolee bure kuibadilisha kuwa SGR
Karopoka alichoongea Hichilema ni rehabilitation na haimaanishi kutembelea SGR Tanzania ndo kubadili reli ya TAZARA kuwa SGR. Hizo 1800 km hata kwa rehabilitation ya the whole track alone inaenda ku-cost ni zaidi ya $1 bln si mchezo!
 
Honestly wakulima ni hard worker sana tatizo kubwa ni miundombinu na viwatilifu plus proper knowledge
Uhaba wa mtaji, ukosefu wa masoko, miundombinu mibovu wanashidwa kusafirisha mazao kwa wakati, hivi na ulivyovitaja vinawakwamisha sana wakulima wa nchi hii.
 
Back
Top Bottom