Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

heshma! if you know ukoo flani...respect...
i was born in 80s and raised in 90s that's why i go for the old school guys of hip hop generation in EA and US as well.
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
we si mshamba ndiyo maana umeijulia hapa......yaani we ni local sana..........wasaniii wenu wakenya wanaujua mziki wa bongo sembuse wewe chokoraa usiyejulikana
 
kwa jinsi mlivyo na chuki na dar es salaam,inafika wakati mnawachukia hata wale wakenya wanaoipenda dar kiroho safi....punguza chuki "msee".
yaani tunawapee wale rejects...huyo jamaa hata hakuna anayemsikiza...ni jamaa bure kabisa..lol! nobody takes him seriously
 
we si mshamba ndiyo maana umeijulia hapa......yaani we ni local sana..........wasaniii wenu wakenya wanaujua mziki wa bongo sembuse wewe chokoraa usiyejulikana
sasa umekasirika? chokora yupi ama wewe hapo? usijali utatoka katika maisha ya uchokora siku moja...
 
sio kwamba nawacheka hawa ila kuna mtz amesema kuwa hajawahi kuona umaskini kama ule wa Kenya..@ichoboy01 uchiboy njoo

A Tanzanian man and his wife have been arrested for allegedly placing physically challenged people on the streets of Embu town to beg for money.

Six people living with disabilities, aged between 20 and 25, and two who allegedly pushed the wheelchairs of the severely handicapped were also apprehended on Wednesday night.

Embu West OCPD Francis Sang' said the nine admitted hailing from Tanzania but added that the organiser of the ploy had their identification documents.

He said the arrests followed a tip-off from members of the public, who informed them the group stayed at a hotel in the town.
 
nimekuuliza swali?
alafu ndio ujue akili yako ina matatizo, kati ya kilomita fupi na kilomita refu ni gani itakua cheap kusafirisha mizigo?? nchi landlocked zitakimbilia reli fupi ili kusave hela..tafta lingine nikujibu sasa hvi..πŸ˜€πŸ˜€
So unataka kuniambia kenya ina km fupi kwenda nchi gani???? Hebu nieleze vzr nikuelewe
 
Nonsense
 
So unataka kuniambia kenya ina km fupi kwenda nchi gani???? Hebu nieleze vzr nikuelewe
wachanga kujifanya zuzu...reli ya kenya kwenda kampala ni fupi kuliko ya tz kwnda kampala...kushukanisha vitu jamaa huwa uko slow sana...nilikwambia nashuku elimu yakoπŸ˜€πŸ˜€
 
wachanga kujifanya zuzu...reli ya kenya kwenda kampala ni fupi kuliko ya tz kwnda kampala...kushukanisha vitu jamaa huwa uko slow sana...nilikwambia nashuku elimu yako
So unajua mm nimekutajia nchi ngapi mbona unakua kama mtoto mdogo, nimekutajia rwanda burundi congo zambia malawi comoro na northern mozambique na usifkiri kwa akili yako uganda hawapitishi bandari ya dar wanapitisha sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…