Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,683
- 107,124
Ni nzuri sana ila napenda kusisitiza mamlaka zinazohusika kujikita katika upandaji miti kwa wingi, kwa nguvu zote na kwa lazima na kuitunza mpaka iwe mikubwa.Nilifkiri ungeleta kitu zaidi ya hiki, kumbe umekuja na maneno matupu [emoji23][emoji23][emoji23] zikiwa NAIROBI nyumba kama hizo zinakua ni nyumba tu kawaida and u ar bragging of having them, lakini kwasababu sahii zinaichapa Kisumu ati ni squatters [emoji23][emoji23] very funny
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hebu tulinganishe [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2262265
Utalia hadi machozi ya damu 😂 😂. Umeona hizo "ushuzi" zetu? Sasa linganisha na uswazi zenu zilizotapakaa kona zote za DarMsema kweli huyu hapa, kitu bila make up mwanangu [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2262586View attachment 2262587
Kilio cha wakemya kimezaa matunda. Tanzanians ni waoga kwanza wa hapa jamii forums Kenya sectionSisi Wakenya kupiga kelele ndio kumewafanya mkawapa majumba na title deeds na free transport. Otherwise mlikuwa muwauwe kabisa na kukosa kuwapa fidia.
Sasa nyumba zimejengwa kama uyoga (mushroom) , yaani overnight nyumba hiyo . It was process , nyumba zilijengwa kitambo . Punguza ujuaji mkunyaSisi Wakenya kupiga kelele ndio kumewafanya mkawapa majumba na title deeds na free transport. Otherwise mlikuwa muwauwe kabisa na kukosa kuwapa fidia.
Hata politicians wao na govt officials wanaogopa Kenya. Yule Inspector general wao wa polisi alikuwa anaongea kwa uoga halafu anasema "nchi fulani ambayo sitaitaja inafaidika na mbuga huu." Yaani hata hawezi kutaja Kenya juu ya uoga.Kilio cha wakemya kimezaa matunda. Tanzanians ni waoga kwanza wa hapa jamii forums Kenya section
Kwahiyo nyumba zimejengwa kwa siku mbili? My friend Mkunya, don't overshoot ur relevancy! Nyie mmepiga kelele kwa vile mmepoteza malisho mlikuwa mkiwatumia kuingiza mifugo! Sasa wanaondoka nasi tunawangoja nyie wa upande wa pili!Sisi Wakenya kupiga kelele ndio kumewafanya mkawapa majumba na title deeds na free transport. Otherwise mlikuwa muwauwe kabisa na kukosa kuwapa fidia.
Tumeshapeleka kesi International Court of Justice (ICJ). Subirini summons mtaitwa soon kortini mje mjieleze.Sasa nyumba zimejengwa kama uyoga (mushroom) , yaani overnight nyumba hiyo . It was process , nyumba zilijengwa kitambo . Punguza ujuaji mkunya
Kama hiyo picha ya Kisumu ni slum hizi tutaitaje? Jehanamu?
Ukiambiwa uzoom utakavo lalambele heee........Kama hiyo picha ya Kisumu ni slum hizi tutaitaje? Jehanamu?
View attachment 2262749View attachment 2262750View attachment 2262752View attachment 2262753View attachment 2262754View attachment 2262755View attachment 2262756View attachment 2262757View attachment 2262759View attachment 2262760
Usiue wajukuu wa south., wahurumie tutawahitaji kesho for entertainment, waache wapumue bana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .,., sasa ni Dar vs Mombasa town area rasmi, kumbe Dar ni kadogo kwa Mombasa ikija town coverage, kumbe hii👇👇 uharo na population ndio ukubwa, google earth ni kiboko cha mtanzania😂😂😂😂😂😂Kama hiyo picha ya Kisumu ni slum hizi tutaitaje? Jehanamu?
View attachment 2262749View attachment 2262750View attachment 2262752View attachment 2262753View attachment 2262754View attachment 2262755View attachment 2262756View attachment 2262757View attachment 2262759View attachment 2262760