Apa naona huleti fact tena bali siasa na miemko,ukiniambia private sector ilishuka ningekubaliana na ww ni kweli kabisa , kuna sera mbili zinazo bana na kuachia pesa kwenye mzunguko ambanzo ni monetary na fiscal policies, kipindi cha mwenda zake alitumia sana fiscal policy , ndio mana gvt ilikuw km center of everything...Hali ilikuwa mbaya hela hamna kwenye uchumi mikopo ikasitishwa serikali ikaanza kupora hela za wananchi kwa mtutu na hiyo nayo utabisha? Sabaya mwenyewe anasema alfuata maelekezo toka juu hapa unatetea nini?
Hii inaonesha kuwa wewe ni mfanyakazi wa serikali maana wote waliathirika kasoro wafanyakazi wa serikali tuu.
Biashara ziliporwa hela zikafungwa na wamiliki wakawekwa ndani ukikataa kuporwa unafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi au unajikuta kwenye kiroba na hii nayo utanisha?
Japo sipendi kuzungumzia siasa lakini hiyo ndio ilikuwa hali halisi Tanzania in the last 6 years.
They are used by private people, hotels and companies to transport their staff to and from work ni lipi hujaelewa hapo.They are prohibited and at the same time vipo! What a statement!
You said they are prohibited. Hapo ndio sielewiThey are used by private people, jotels and companies to transport their staff to and from work ni lipi hujaelewa hapo.
Ndio maana inasemekana usishindane na ndovu kwenda chooTatizo la kufanya mambo bila mpangilio mwafaka kisa Kenya wamefanya.., ona kununua ndege, eti na wao wawe na national carrier pia, matokeo ni losses after losses, year in year out.,
Wewe angalia industrial output wakati wa kikwete then compare na output wakati wa JPM hata exports za bidhaa za viwandani zilishuka sana wakati wa kikwete tulishafika US 1.2bn ikashuka mpaka 400mApa naona huleti fact tena bali siasa na miemko,ukiniambia private sector ilishuka ningekubaliana na ww ni kweli kabisa , kuna sera mbili zinazo bana na kuachia pesa kwenye mzunguko ambanzo ni monetary na fiscal policies, kipindi cha mwenda zake alitumia sana fiscal policy , ndio mana gvt ilikuw km center of everything...
Ila akuna haja tuachie hapa umesha ingiza siasa kwenye uchumi.
Unganisha na sentesi iliyotangulia ndio utaelewa usisome nusu nusuYou said they are prohibited. Hapo ndio sielewi
Tuachane nayo, umeshindaUnganisha na sentesi iliyotangulia ndio utaelewa usisome nusu nusu