LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
Edward Wanjala you are doing a great job. tegea kiasi uone recycle ya the same CBD ya Dar na the same hotels hahaha. Sijui Bongo
Asante kwa renders😀😀😀😀sawa basi...tupambane tu ila si mnajua tu nani atashinda...kwanza hata kwa u/c tumewachapa mpaka Joburg sembuse Dar...the pinnacle, avic, montave na prism..
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwani nyie mnaorudia britam kila wakat au unaona hatuoni😀😀😀😀😀😀nice pics...sasa picha kama hizi ndio mnafaa mlete...sio kila mara TPA na PSPF...mnafanya mji wenu ukae kana kwamba hauna mijengo mingine..kuna wakati Nairobi picha zilkua tu ni KICC na Times Tower...ila baada ya Upperhill na Westlands ku upgrade, sasa tuna variety...
WOW...Now introducing the real beast, Amara Ridge by Cytonn
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nearing Completion
Dayum.Now introducing the real beast, Amara Ridge by Cytonn
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nearing Completion