Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

there was a plan for BRT in Nairobi yes but it was shelved...BRT wouldnt work ffor this city like it did for Dar...so thats why they have brought up plans for light rails...
Ukweli ni kwamba sheria ya ardhi Kenya INA MPA MTU mamlaka ya makubwa ya ardhi kuliko serekali , kwa hiyo kupitisha brt Nairobi wataitaji Ku lipa watu fudia na unapokuja swala hiyo watu wata leta fidia za ajabu maana ardhi anamamlaka NAYO makubwa , hamtakaa mfanikiwe kupitisha brt Nairobi wala hiyo treni

spensa_e
 
yeah.. ni kweli. Nairobi na Moro zote ziko inland.
lakini ukiangalia infrastructure between dar na Nairobi.... unaweza kusema ni jiji gani lililo endelea na kujistawi
Hebu angalia majiji makubwa duniani yako either near by oceans or lakes kwahiyo hicho ni kigezo tosha kuwa Nairobi is not better than Dar esalaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama ni basi tuna hizi za airport...wachana na BRT
jkia1.jpg
jkia4.jpg
kaa2.jpg
JKIA-International-Arrivals.jpg
kq11.jpg
hqdefault.jpg
Yaani kuna vitu vinatueleza kabisa mtu flani ni wa aina gani, yaaani katika karne hii mtu hana uelewa wowote wa mass transit anastaajabu watu kusimama kwenye basi ambalo ndio lemekua designed kwa kazi hiyo, Halafu kuna mtu analinganisha basi la kubebea abiria ndani ya uwanja wa ndege (NDANI) na BRT ? na ulimwengu huu wa internet Kazi ipo, Halafu watu hawa wanatoka nchi inayojiita advanced nation in AFRICA ?
 
Ukweli ni kwamba sheria ya ardhi Kenya INA MPA MTU mamlaka ya makubwa ya ardhi kuliko serekali , kwa hiyo kupitisha brt Nairobi wataitaji Ku lipa watu fudia na unapokuja swala hiyo watu wata leta fidia za ajabu maana ardhi anamamlaka NAYO makubwa , hamtakaa mfanikiwe kupitisha brt Nairobi wala hiyo treni

spensa_e
point ya msingi sana hiyo....nilitaka niieleze jana....asante kwa kuniwahi comrade.
 
Yaani kuna vitu vinatueleza kabisa mtu flani ni wa aina gani, yaaani katika karne hii mtu hana uelewa wowote wa mass transit anastaajabu watu kusimama kwenye basi ambalo ndio lemekua designed kwa kazi hiyo, Halafu kuna mtu analinganisha basi la kubebea abiria ndani ya uwanja wa ndege (NDANI) na BRT ? na ulimwengu huu wa internet Kazi ipo, Halafu watu hawa wanatoka nchi inayojiita advanced nation in AFRICA ?
you have nailed it bro....a pain in their ass.
 
Back
Top Bottom