ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hahahah yani unatuletea source ya skyscrapercity hahahahah pumzika babaLeta source yako au unyamaze hadi ile siku mtafika.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
hahahah yani unatuletea source ya skyscrapercity hahahahah pumzika babaLeta source yako au unyamaze hadi ile siku mtafika.
Unataka tukuletee source toka SkyscraperCity - Powered by vBulletinLeta source yako au unyamaze hadi ile siku mtafika.
Hata ukitaka tembea Dar mzima ukiingia buildings zote ukihesabu floor moja moja.Unataka tukuletee source toka SkyscraperCity - Powered by vBulletin
Uongo ndo mlikua mumejaza huko, leo mumepatikana hahahahhahahahahhahha tamu sana.Usijari. Na hii issue tulishaiongeleaga sana kwenye thread hii. Kwakuwa unataka kufufua makaburi ngoja nikuletee hizo data.
Nairobi nzima haina hiyo status achilia mbali pori lolote nchini Kenya.Yea! maana hapaeleweki ni CBD ama ni Suburb, ama kijiji hivi! Yaani panakaa Kisii town ya Kenya
hahahha ooohhh yes nataka mjitete.Subiri nakuwekea kwani tatizo lako ni nini? Just wait naweka data vizuri.
siyo.....mdomo.........mnajidanganya na hiyo skyscrapercity ......siku zote ilikuwa wapi hiyo source...mpaka iwe leo.....kwa building hamgusi niamini mimi....la sivyo utajifariji tu hapa kwa hiyo source ambayo hata chizi wa kibera anaweza kuiandikaHii ushamba ikona facts moja hadi 29 yenu hapa kumbe hua mdomo tu.
hahaha wanjala kwan humjui 😀😀😀😀😀Nairobi nzima haina hiyo status achilia mbali pori lolote nchini Kenya.
Facts ya skyscraperscity? Chang'aa imeshakufikisha CanaanHii ushamba ikona facts moja hadi 29 yenu hapa kumbe hua mdomo tu.
dar inawaumiza sana kichwa hawalali wala hawashibi😀😀😀😀😀Facts ya skyscraperscity? Chang'aa imeshakufikisha Canaan
You can't divert my attention that your city only has 29 over 20 floors buildings. 29 pekee navile hapa hua mnapayuka utadhani nkona branch ya mnhattan huko. Kelele ndo hua mkonayo mingi.Facts ya skyscraperscity? Chang'aa imeshakufikisha Canaan
29 vs 50 mind the gap. hohohohohodar inawaumiza sana kichwa hawalali wala hawashibi😀😀😀😀😀
source ndio hii😀😀😀😀😀😀😀😀😀 imetoka kwa umwishi wami29 vs 50 mind the gap. hohohohoho