Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta source yako au unyamaze hadi ile siku mtafika.
hahahah yani unatuletea source ya skyscrapercity hahahahah pumzika baba
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
9e1ec1d3b082dc2595402036182823e6.jpg
 
29 vs 50 Enyewe hapa kwa over 20 floors number mtaishi kuisoma kwa miaka mingi sana.
 
Hata ukitaka tembea Dar mzima ukiingia buildings zote ukihesabu floor moja moja.
Usijari. Na hii issue tulishaiongeleaga sana kwenye thread hii. Kwakuwa unataka kufufua makaburi ngoja nikuletee hizo data.
 
Usijari. Na hii issue tulishaiongeleaga sana kwenye thread hii. Kwakuwa unataka kufufua makaburi ngoja nikuletee hizo data.
Uongo ndo mlikua mumejaza huko, leo mumepatikana hahahahhahahahahhahha tamu sana.
 
Uongo ndo mlikua mumejaza huko, leo mumepatikana hahahahhahahahahhahha tamu sana.
Subiri nakuwekea kwani tatizo lako ni nini? Just wait naweka data vizuri.
 
Hii ushamba ikona facts moja hadi 29 yenu hapa kumbe hua mdomo tu.
siyo.....mdomo.........mnajidanganya na hiyo skyscrapercity ......siku zote ilikuwa wapi hiyo source...mpaka iwe leo.....kwa building hamgusi niamini mimi....la sivyo utajifariji tu hapa kwa hiyo source ambayo hata chizi wa kibera anaweza kuiandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Facts ya skyscraperscity? Chang'aa imeshakufikisha Canaan
You can't divert my attention that your city only has 29 over 20 floors buildings. 29 pekee navile hapa hua mnapayuka utadhani nkona branch ya mnhattan huko. Kelele ndo hua mkonayo mingi.
 
Back
Top Bottom