Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20170817-132319.jpg
 
Lol......number two inaumanga watanzania sana....Hahaha. na vile mko lazy mtapita Kenya vipi......Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
hivyo hivyo kilazy lazy......asa sijui nani atakuwa lazness maana sasa hivi ni mwendo wakuwabaka tu.....na bado vitu vingi hstujaaza kuvuna matunda yetu sijui tunapoanza itakuwaje.....
 
naona tanzania imekua tishio dhidi ya majirani zetu😀😀😀😀😀😀
wakenya wa leo sio wale wakenya wa miaka 10 iliopita😛😛😛
 
I don't get how this retards reason out, but then again you have to read in between the lines and understand how much they pray for our downfall everyday, wakiona bad news in kenya they get into a celebratory mood, this fuckers are jus like that jealous friend you have because your doin much better than him, they always want us to "Soma number" but they always find themselves stuck in that circle, very sad
povu
 
Mtu akiwasikiliza Wakenya humu atafikiri Kenya ni kama....Hong Kong,Qatar hivi kumbe ni typical third world country ambayo umaskini ndio sehemu kubwa ya maisha ya wananchi.
I am talking about Kenyan companies in other African countries. ....ziko hadi tz.Its laughable to think that after building a tower you can rival Kenya. ...Daresalaam is also very unplanned by big proportions with negligible real estate. And foreign companies come to countries with better infrastructure. And foreign companies only create Jobs and Pay taxes and through control accounting remitt their proceeds back to their home countries

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongea yote but Tanzania is the 5th with the fastest growing economy in the World and 2nd in Africa. The 2017 report.View attachment 568601
wewe,, growth ya (tz) 7.2% x 50B ni Us$3.6B

growth ya (Ke) 5.7% x 75B ni Us$4.3B

difference = Us$0.7B
gap inapanuka au haipanuki???

grow at 10% first while Ke grows at 3% then come we talk.
 
wewe,, growth ya (tz) 7.2% x 50B ni Us$3.6B

growth ya (Ke) 5.7% x 75B ni Us$4.3B

difference = Us$0.7B
gap inapanuka au haipanuki???

grow at 10% first while Ke grows at 3% then come we talk.
wataalamu wa kupika data....
 
wewe,, growth ya (tz) 7.2% x 50B ni Us$3.6B

growth ya (Ke) 5.7% x 75B ni Us$4.3B

difference = Us$0.7B
gap inapanuka au haipanuki???

grow at 10% first while Ke grows at 3% then come we talk.
Hii taaluma ya kupiga Hesabu kwa style hii ulijifunzia wapi?

Hahaha hata estimations za mama mboga hazipigwi hivi.
 
Fastest growth haimaanishi mko mbele...
pia kenya ilikuwa na growth ya 12 per cent 2010 kubwa zaidi worldwide wakati huo.
 
photos taken inside dar's brt during non-rush hours.
831bdd02b4416f76dc42d97bfc3706b0.jpg
92e225b93996eade17c08e18c5435e8e.jpg
87b835a601da017036176eb1e8e5a98b.jpg
26eddb846d24aa190fb36b0c88cc588d.jpg
57e2b23b77a01984ea7cb6bf3cf0d7ae.jpg
e2942178beb20dc993b7bcb839e39483.jpg
600c9edcea4ff67e9057a62a01397e0d.jpg
a2dff2e4f0f107b419a1ea7462194a92.jpg
Honestly kwa public transport nayo i laud Dar.....Sisi nganya zetu hu misbehave town sawasawa and we dont have clear cut bus terminus in Nairobi. ..........I think light rail can be the only solution for Nairobi and BRT can be good for Mombasa or kisumu which has wider streets

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom