Hapa hebu niwape hongera nzito sana iliyokoleza heshima kabisa. Yaani hapa mumefanya kazi na nimekoshwa kuona maendeleo na mafanikio yanavyofanyika kwa speed ya juu hapa Afrika Mashariki. Ninafurahi kuwa mwana Afrika Mashariki. Region yetu inakuwa kwa kasi mno kwenye miundo mbinu. Yaani eti Sgr lot 2 ipo karibu kukamilika? Nimeshangaa sana. Ila najiuliza ni kwa nini Dar mpaka Moro haijakamilika? Tatizo liko wapi? Anayejua jibu anieleze.