Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That is your opinion.Usitake kila mtu afikiri na kutazama unavyoona wewe.Ndio maana Mimi huwa nawaona wale wanaosema JPM ni kama nyerere na kuwadharau Mwinyi,Mkapa na Kikwete ni wapumbavu kwa kua hawataki kufanya detailed analysis ya viongozi na nyakati zao,kila kiongozi amawezesha nchi kupiga hatua.Simple Mwinyi hakua na option nyingine zaidi ya kufungua uchumi the same wachina walifanya 1978 tofauti wao hawakutaka kuruhusu vitu vingine nje na uchumi walibaki na socialism kwenye tamaduni,dini,na siasa wakaingiza ubepari kwenye uchumi,Mkapa anaingia uchumi umefunguliwa lakini hatuna mtaji na wataalamu anaruhusu Western countries kuingia kama China walivyofanya sema wenzetu walituzidi kwenye kuchukua maarifa tax incentives zipo China Hadi leo kwenye technolojia mpya,Kikwete anaingia mikataba ya madini ipo inafanya kazi lakini anaikuta nchi haina miundo mbinu ya usafirishaji ya kutosha anahangaika huku na huko anasaidia kika kila mkoa unaunganishwa kwa njia ya lami,na ndio Rais aliyetoa ajira nyingi hasa kwenye utumishi wa Umma ndiye aliyekuuza uchumi zaidi na anaweka vision ya kua na SGR.JPM anaingia hahangaiki tena kuunda taasisi au kuunganisha mikoa kwa lami execpt mikoa michache kabisa anapata nafasi ya kujenga nyerere hydro power,Sgr nk ...hivyo kila mtu kafanya yake japo kila mtu anakasoro lakini hatuwezi kuwa wote wapumbavu na kubeza viongozi wetu huku tukijua ya mazuri mengi wamefanya.
We usiwahusishe wazee wetu Mwinyi na Mkapa kwenye upumbavu wa mkwere. Mwinyi alijitahidi kiasi chake na mkapa pia. Fraud mkwere ndio ugonjwa aliokua akiutibu Magu ile tunapata nafuu akapewa sumu. Hivi unajua Salma alipata 1-7 form six? na hakua akipiga msuli bali kuzurura huku na kule
 




FLEeAF2WQAIR3BQ
 
😀 Wabongo watajua tu wewe ni mkenya, Kunyoosha Kiswahili ni ngumu sana kwa mgeni hususani wakenya wenye accent za kulegeza midomo kizezetazezeta ndio kabisa hutaweza
Ni sawa bichi kidimbwi...kwa kiswahili najua mmetushinda...tena kwa mbali sana aisee..si unajua tena sisi wakenya huwa watu wa true ..tunaposhindwa huwa tunakubali hands down..na tz mjifunze kuiga mfano huo....tukisema kenya uchumi mkubwa..kubali....tuko juu yenu ...kubalini mwache ubishi....barbara zetu ziko bora....kubali....shule zetu ziko juu zaidi...kubali etc
 
Ugonjwa wowote unaua kwa hiyo hata korona lazima watu wafe ,ila kwa tz korona ni kagonjwa kadogo vyakula vyetu tunakula ni high quality, kutoka shambani to mdomoni ,wenginwanaokufa na korona ni watu wa kununua vyakula super market
wewe sasa ushaanza kufikiria kama wale viongozi wenu wa ...hakuna corona..maski zitawaua......njooni tujifukizie..
 
Back
Top Bottom