Hii nchi inakila sababu ya kupaa juu zaidi.Tz is doing very well in that aspect usijisahau,we've done with dar port,JNIA T3 ,SGR will be operating soon,nyerere dam as well,hizi zote zitapump billions of money into our economy....Gold export inaingiza $2.8B as per 2021,our target is 5M tourist by 2025 tuzamishe $5B za utalii ,we r doing well
Plan :
Gold production iongezeke na kwa sasa Ndio kitu kinafanyika
Nickel / copper / cobalt uzalishaji Uanze na Ndio Kitu kinafanyika
Iron ore uzalishaji Uanze kifunguliwe kiwanda kikubwa cha kuzalisha steel africa , asia nk
Rare earth minerals / graphite uzalishaji uanze na Ndio Kitu kinafanyika
Kuwekeza kwenye kutangaza utalii imefanyika Tusubiri matokeo
Kuweka miundombinu mikubwa na Ndio Kitu kinafanyika sasahivi
Mradi wa kuvuna na kuchakata gesi uanze
Serikali ipunguze matumizi




