Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio WFP tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeona sasa ulivyochanganyikiwa, hao uliowataja hayo yalikua maamuzi yao...
Tuonyeshe hicho chakula kilipewa akina nani
Wee unaelewa unachokiandika?
Pia unasoma kwa uelewa kweli?
😂😂😂😂😂😂😂aisee hii kweli tabu.
 
Miradi aliyoacha marehemu ikiwa Poa anasifiwa mama, kukionekana kuna tatizo anarushiwa marehemu,
Upanuzi wa bandari ulipomalizika ikaja na meli kubwa kelele nyingi mama anaupiga mwingi, kwa nini wasimpe sifa aliyeanzisha?
Wanajaribu kumsifia mama kwa miradi aliyoianzisha Magu lkn waapiii ngoma inagoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
its so sad that you think that MGR of yours is has exactly the same specifications as the SGR😂😂😂
how illiterate are these dumbos really🤣🤣🤣 you think its all about looks??! dumb a$$
full dumbo mode initiated 🤣🤣🤣🤣
Utofauti labda utakua tu standard ya reli kuwa yenu SGR yetu MGR.
Ila ktk locomotives zenu SGR zina speed inayoshahabiana na locomotive zetu za MGR.
 
Your SGR is inferior to ours. That`s the fact.
[emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji117][emoji1241][emoji117][emoji2787][emoji117][emoji1139]
Screenshot_20220121-172314.jpg
Screenshot_20220123-004356.jpg
 
Wanajaribu kumsifia mama kwa miradi aliyoianzisha Magu lkn waapiii ngoma inagoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama mwenyewe alishasema viatu vya Bwana yule vinampyaya. Hivyo tusitegemee makubwa sana toka kwa huyu mama. Hata hivyo hii siyo statement nzuri sana kutamkwa na head of state kwa public maana inakatisha tamaa labda kama alikuwa na maana nyingine. Na kama ndiyo hivyo sioni umuhimu wake kuendelea na kukaa kwenye kiti.
 
Hehe.......hawana uwesooooo.....in Atwoli's voice...These guys should know that Kenyans generally are resourceful people whether they agree or not .....the entire Africa inatambua Kenyans........Another secret to Kenya's gdp that I'll give to tanzanians for free is the Cooperative movement in Kenya.......it's the most advanced in Africa...
Kutambulika imewasaidia Kua na nn cha ziada?mkitaka pesa nje mnakopa nn mnapata bure? Ulifaa useme tu mnajitahidi bado hamjafika popote

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Gesture of satisfied community

Kuna mnijeria aliniuliza inawezekana vipi Tanzania ina wanyama wengi kiasi hicho kwenye mbuga zake, ina maana watu hawawawindi?

Zebras wapo kwenye makazi ya watu comfortable, najua upande wa pili kulivyo na njaa hawa wasingechukua round 😀

FJtrF5xX0AIxPtZ.jpeg
 
Back
Top Bottom