Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Kwa vile wako partnered na PW inaruhusiwa kutangaza route namna hii hata PW wanatangaza Dubai-Dar flights though hawaendi Dubai! It's upon us ku-partner na local airline Kenya pia! Kwa sasa kinachotakiwa ni wepesi wa Air Tanzania ku-capitalize na hii agressive marketing ya mama kwa kupata more routes across Africa na pia kule Uchina na Thailand na India as a start!afu hawa KQ ukiingia kwenye website yao utaona kuna routes nyingi zinaanzia Dar, inabid tuwatoe hawa
View attachment 1967865
Ila kuna kitu hakijakaa sawa juu ya utendaji wa management ya ATCL, IMHO nadhani haina ubunifu ni kama inajiendesha kimazoea! Refer Kibubu marketing strategy baada ya Dunduliza ya PW yaani ni mfano hai kuoneyesha ni watu wa ku-react kutokana na matukio! They really need to wake up, hizi ndege mbili A220-300 zinakuja leo na nina hakika hawana hata landing permit moja ya kwenda West Africa be Nigeria/Ghana/Cameroon and yet wana routes za Ghangzhou/Bangkok na Mumbai and soon wataanza kutafuta flying permits za continental Europe!


