Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Utajua hujui,nimesema hivi tutakuwa tunaongea kwa namba..Sina haja ya kukuelewesha wewe ni sikio la kufa
Legacy inazidi kufukiwa 👇
Utajua hujui,nimesema hivi tutakuwa tunaongea kwa namba..Sina haja ya kukuelewesha wewe ni sikio la kufa
naipenda sana NAIROBI yangu my classic ,View attachment 1942737View attachment 1942738View attachment 1942739View attachment 1942740View attachment 1942741View attachment 1942742
Mtaropoka Sana ila Tunazidi kufukia Legacy,tukutane Kwa Biden kutafuta fursa kama hivi 👇Naona una angaika kubebana na zigo la maviikwani ukusikia ule msemo zigo la mavii alibebeki
Nyie ni kichekesho kweli, Team yenyu Iliyokuwa Rwanda walirudishwa kwa kukosa hela za kukidhi mahitaji yao na za kulipa host nation. Sasa si muanze huko(welfare) kwanza, kabla hamjarukia makuu? 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kasarani Indoor at 5k
Kigali Arena at 10k
Our Upcoming sports arena will be jaw dropping
15k to 20K .capacity..if things go as planned ..we will see it over coming years ..In Dar or DodomaView attachment 1942941
kumfurahisha mzungu. masharti
Meanwhile kwa jirani mambo iko hivi 👇Nyie ni kichekesho kweli, Team yenyu Iliyokuwa Rwanda walirudishwa kwa kukosa hela za kukidhi mahitaji yao na za kulipa host nation. Sasa si muanze huko(welfare) kwanza, kabla hamjarukia makuu? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
$50 PER HEAD, TENA MKASHINDWA! 😬😬😬😂😁
Like i said your fool...first those which you call data mean nothing if they can't ressemble the reality, we are talking about to connect all of our villages with electricity, yet you fool show up with nonsense list , if that international agent fail even to estimate the actual number then they are fool as yourDifferentiate between a fact and opinion. These are facts.
View attachment 1942665
View attachment 1942666
No one knows better our nation than usDifferentiate between a fact and opinion. These are facts.
View attachment 1942665
View attachment 1942666
Mwenye macho haambiwi tazamaNionyeshe aliyekufa njaa...![]()
Name those "wealthy Kenyans" who offered loans to GoK. The fact still remains, your government hawana hela za wachezaji, tulieni mikopo ije! 🤣
Wako wapi, mboni siwaoni wakifa? 😂Mwenye macho haambiwi tazama
Huwezi kuwaona kwasababu huna macho, tukusaidieje?Wako wapi, mboni siwaoni wakifa?![]()



Hawa TANESCO wana thread yao humu Jamii Forums cha kushangaza ukiwaambia ukweli wahusika wanaomba namba yako baadaye wanaanza kukupigia na kuanza kusema kwamba hakuna tatizo hilo na kulazimisha kupajua kwako pamoja na vitisho vya hapa na pale.
Kakojoe ulale, bado hujaamka vizuri 😁😁😁Huwezi kuwaona kwasababu huna macho, tukusaidieje?![]()
Tulia sindano ikuingie,si usome hilo gazetiName those "wealthy Kenyans" who offered loans to GoK. The fact still remains, your government hawana hela za wachezaji, tulieni mikopo ije! 🤣
Hana lolote mihemko tu na drama, ukishakuwa mshenzi huwezi kuwa muungwana labda wa kuchora.Wababaishaji sana hao jamaa ndo zao ukitoa taarifa wana respond baada ya wiki mbili na zaidi Acha tumuone huyu mwamba kama atabadlisha kitu au ndio hadithi za abunuwasi