Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,683
- 107,124
Kwa hivo ya kurithi Sio madeni ama? The point is ATCL Ina madeni kubwa na yanazidi kuongezeka. Kubalini mlikurupuka. Sahii mnayo Ndege Aina ya 787 inafanya internal routes, ufala kama Huo ndio unaomuulia shirika.ATCL imerithi madeni ya awali karibu billion 500, hayo ni madeni yapo toka ATCL ya Nyerere, usitafutie upenyo
Bado haiondoi ukweli kuwa connectivity in Nigeria is 56% while Tanzania is 37%😂😂😂Sisi tuliujumiwa na wazungu kuzuia bwawa la umeme kujengwa vingi tungekuwa vizuri sana kwenye umeme ila nigeria umeme unakatika ovyo ovyo majenereta mji mzima
what the fu-ck is Dodoma?😂😂😂Incase if you dont know Abuja plan was copied from Dodoma we gave them the city master plan
Do I need to remind you that Tanzania only have 2 interchanges 😂😂😂Hii jua kali type kila cku iko U/C mwaka wa tano sasa [emoji3][emoji3][emoji3]
ATCL has more liabilities than assets😂😂😂. Did you know that of all the 9 planes they have 5 are grounded?😂😂😂Kwa hivo ya kurithi Sio madeni ama? The point is ATCL Ina madeni kubwa na yanazidi kuongezeka. Kubalini mlikurupuka. Sahii mnayo Ndege Aina ya 787 inafanya internal routes, ufala kama Huo ndio unaomuulia shirika.
Hahahaha, the above part is well constructed [emoji2][emoji2][emoji2]Changamwe 3-level interchange. Tanzania iko na 3-level interchange moja, Kenya iko na sita.
View attachment 1919004
View attachment 1919005