Uko sahihi. Lakini ni wazi watu hawamuogopi mama ba serikali yake.
Sirro kambip mkuu wake wa kazi openly. Pia ukumbuke waziri wa afya aliagiza Askofu Gwajima kukamatwa, unakumbuka nini walijibu.
Hii nchi yetu wote na tunaipenda sana. Nafahamu wewe ni Mzalendo wa kweli na umejitoa sana kwa nchi hii ingawa wengi hawatambui hili.
Lazima tukubali, mama amepyaya sana. Anahujumiwa, anajibiwa openly.
Kuna angemjaribu Mgufuli kiasi hiki😂😂
Angalia sakata la kina Bashe. Waziri anasema hivi na mkuu wa mkoa anafanya hivi😂