ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mpaka dunia itasmama 😄😄😄Hizi ni levels Kunyaland haiwezi kufikia!
Mpaka dunia itasmama 😄😄😄Hizi ni levels Kunyaland haiwezi kufikia!
Alafu kuna mbwa atakuambia TZ ni LDC, ila cku hz wamekuwa wapole ghafla








🙈🤣A city with no real estate, uswazi to infinity😂😂😂View attachment 1896465View attachment 1896466
it's "hatari" NOT "atari" mzee! 🙏 🙏Atari atari Bob.
Najua mzee ni kuepuka nguvu na muda tuit's "hatari" NOT "atari" mzee!










Huu mradi ndio ungekua unafanyika kunyaland tusingekunywa maji humu
Nimeanza kuona utofauti kati ya kambi hiz za mchina na zile za mturuki.
Bongolala si lazma tufanane...sisi tuna geothermal na tumejitosheleza kwenye umeme hatuhitaji HEP..sisi tumeweka more effort kwenye irrigation na mahitaji mengine ya maji. sasa hivi dams zaidi ya 6 zipo under construction kenya mostly for irrigation mfano thwake dam itakayogharimu approximately $800m na itachangia ardhi 40 000 acres kuwekwa kwenye irrigation pamoja na na wananchi 1.3m kupata maji..sisi tunajenga miradi yenye impact si miradi temboHizi ni levels Kunyaland haiwezi kufikia milele!
Najiulizanga maswali Sana🙈Yani Mazezeta wanavyodai Tanzania imepita Kenya kwa Maendeleo Mbona haionekani🤔Ata Picha za aerial za TZ zinaonesha Ushuzi kila mahali.Wanadai pia eti wametupita kipesa🤣Mbona mpaka World bank na kila mahali wanasema TZ is poor country,kitu nimekuja kujua Tanzania are lazy they have every natural resources they need but haiwasaidii,Imagine ingekuwa Tanzania ingekuwa dry Kama Kenya how would they survive?????Mazezeta tu⚰️🚮🚮Ladies and gentlemen this is how a city without real estate looks like👇👇
View attachment 1896527View attachment 1896528