Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ndio source nayoiamini na inayoaminika😀😀😀😀😀😀
nitumie hio source yako tafadhali
pole sana kwa kuamini Wikipedia maana mtu yeyote anaweza kui edit kulingana na mawazo na fikra zake
 
pole sana kwa kuamini Wikipedia maana mtu yeyote anaweza kui edit kulingana na mawazo na fikra zake
mm nimescreenshot hahah hakuna editing hapo hata screenshot alietuma anaeza edit pia 😀😀😀😀
ndio maana hua siwashangai sana
Screenshot_20170720-094745.jpg
 
someone was comparing SANDTON and UPPERHILL?????😀😀😀😀😀😀😀



I always thought Sand ton was better and miles ahead of Upper hill, but that video has shown upper hill is an equally amazing place and expansive... yet its improvement started 4 years ago... now hosts the 2nd tallest building in Africa, soon to host the tallest. The roads are being expanded. That video did not do your argument/claim any justice.
 
mm nimescreenshot hahah hakuna editing hapo hata screenshot alietuma anaeza edit pia 😀😀😀😀
ndio maana hua siwashangai sana
View attachment 547219
wacha nikusaidie hapa

Asilimia 90 wa wakenya wamesikia na kuona habari bandia
Karibu asilimia 90 ya wakenya wameona au kusikia habari za uongo kuhusu uchaguzi mkuu unaokuja, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kote nchini humo.
Utafiti huo uliowahusisha wakenya 2,000 kupitia ujumbe ya SMS mwezi Mei, pia uligundua kuwa asilimia 87 ya wale walipata habari hizo walizichukulia kuwa potovu au bandia.
Zikiwa zimesalia chini ya siku 20 kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu, kumekuwa na habari nyingi potovu kutoka mitandao iliyobuniwa kwa lengo la kupotosha tu.

Utafiti huo pia uligundua kuwa vyombo vya habari vya kitamaduni kama radio viliaminika sana kwa habari.
Facebook na WhatsApp imeorodheshwa kama mitandao ya kijamii iliyo maarufu zaidi ambapo watu hupata habari.

Asilimia 90 wa wakenya wamesikia na kuona habari bandia - BBC Swahili
 
wacha nikusaidie hapa

Asilimia 90 wa wakenya wamesikia na kuona habari bandia
Karibu asilimia 90 ya wakenya wameona au kusikia habari za uongo kuhusu uchaguzi mkuu unaokuja, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kote nchini humo.
Utafiti huo uliowahusisha wakenya 2,000 kupitia ujumbe ya SMS mwezi Mei, pia uligundua kuwa asilimia 87 ya wale walipata habari hizo walizichukulia kuwa potovu au bandia.
Zikiwa zimesalia chini ya siku 20 kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu, kumekuwa na habari nyingi potovu kutoka mitandao iliyobuniwa kwa lengo la kupotosha tu.

Utafiti huo pia uligundua kuwa vyombo vya habari vya kitamaduni kama radio viliaminika sana kwa habari.
Facebook na WhatsApp imeorodheshwa kama mitandao ya kijamii iliyo maarufu zaidi ambapo watu hupata habari.

Asilimia 90 wa wakenya wamesikia na kuona habari bandia - BBC Swahili
😀😀😀😀😀😀😀😀😀pumzika kaka hii jamii forum sio nairaland
 
asante kwa kuwalisha😀😀😀😀😀😀😀😀
asilimia 10 iliobaki ni watoto wachanga
screenshot_20170720-094745-jpg.547219
Facebook & WhatsApp fake news but TV and radio reliable news ....no big deal here unlike 78% of you dying because of hunger and 80% living in slums

sent from iPhone 7
 
Back
Top Bottom