Sawa itafahamika tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wacheni uswahili Mo ndo mmiliki wa club dunia nzima hamna upuuzi wa Manara unaweza kuvumilika!
Sisi michezo hatujui, tunachoweza ni miradi ya maana iondoe shida zen wanamichezo tutanunua, Wakenya wote ombeeni siku zisisonge [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hizi 9900[emoji3]
Hivi hilo gari hapo linaenda kupunguza vumbi kwenye barabara inayojengwa au ni nini?Tunaendelea, mbwa kama zikichota maji ya kisima karne ya 21 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1883261
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hivi hilo gari hapo linaenda kupunguza vumbi kwenye barabara inayojengwa au ni nini?
Wachafu sn hawa kima.Hivi hilo gari hapo linaenda kupunguza vumbi kwenye barabara inayojengwa au ni nini?
Hizi kelele zako hazitabadili ukweli kwamba mna nchi chafu kuliko zote duniani.Kenye kinaharibia TZ Ni unplanned building Uswazi kila corner,Yani machochoro ndizo njia,alafu unapata kando ya hayo maswazi kumejengwa Skyscrapers[emoji85]Ndio Dar iweze kubadilika itawacost alot,Kuna Nyumba zitachapwa chini Ndio kuwe na barabara za maana
Watanzania si mlipeleka watu Tokyo? Mbona hamuenekani hapa?😂😂👇👇
The feeling when you hear national anthem... That's when you become proud of your country
Huoni reli ya umeme, huoni madaraja ya waya, huoni public transport European Standard, huoni roads na flyovers za kisasa zaidi, huoni hospitals za kisasa kabisa, yn huoni, kati ya vyote hapo nilivyotaja kwenu mnajenga barabara km cc labda kdg na vihospitali baadhi ya maeneo co km cc nchi nzima[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona fala flani Hapa ana Domo Sana,eti anadai eti Dar kunajengwa Sana Kenya wakiwa wanalala[emoji85]Yani TZ Ni[emoji372] na mtu Hapa anajigamba,Kweli Kama mmejenga Mbona haionekani???Mbona Basi mpaka yule mzungu alipofika Nai kutoka Dar alisema Nai Ina Bigger City feeling,Mbona Tz ata ikija kwa Estate hamtushindi,ata ikija kwa No of roads mko chini,