leta uthibitisho kuonyesha sportpesa imekuwa successful tz ndani ya nusu mwaka.Why has SPORTSPESA been so successfulin Tanzania given that its barely half a year old
Ukitaka kuona kauli yako haina akili nenda usome sababu ilioifanya kenya airways ku run loss mpaka leo alafu uje nikufundishe😀😀😀😀Ndugu. Kutembea mingi au kusoma kwingi ni kuona mengi.
Asilimia ya leased aircraft in the world imepanda kutoka 15% 30 years ago, to 40% leo.
Airline zote kubwa na ndogo zimegundua kwamba leasing ni more economical than buying. Ata airline za US most of their aircraft ni leased.
Lakini Magufuli ndivo ampatie 'false patriotism' alienda akatumia mabilioni kununua ndege mbili. I can tell you with 100% certainty, hio ATCL yenu itatangaza hasara sooner or later. Mnafanya the same mistakes Kenya Airways ilifanya.
Tofauti ni kwamba KQ ishagundua na sasa hivi ndege zao wanalease.
Na by the way, kulease pia ni gharama. Usidhani ATCL na KQ zinatoshana. Ata Fly 540 yetu iko juu sana
That is just an Azam tv outlet...Azam wataweza market ya Kenya waki introduce either EPL au Internet kwa package yao...ila sai wao ni kama tu Startimes au Bamba, na Bamba haina monthly subscription.The same way Zuku lost in Tz,
By the way, wakati unajibaraguza kwenye keyboard , wenzako washakuja chumbani already.
View attachment 546537
That's a typical Kenyan Mindset. Azam TV is the official sponsor of Rwanda Premier league (Kenya mlibania Azam ligi yenu hiyo mbovu na kumpa DSTV)
In Tz DSTV is selling only because of EPL, na sasa wanakutana na ushindani wa kufa mtu toka Azam TV,
Azam TV Won La Liga, next ni EPL, hapo sasa tutaachana na huu upuuzi wa expensive DSTV.
Azam tv have concurred the Market in East Africa in a very shortest time. I know Kenyans will always try to opt for dstv over Azam sababu ya chuki against maendeleo ya Tz.
But just to remind you, Mafuriko huwa hayazuiliki. Now Tz is ahead of Kenya in So many things. We r now producing everything we used to import from Kenya during 1990's and Early 2000's
Ukitaka kuona kauli yako haina akili nenda usomr sababu ilioifanya kenya airwayd ku run loss mpaka leo alafu uje nikufundishe😀😀😀😀
That's a typical Kenyan Mindset. Azam TV is the official sponsor of Rwanda Premier league (Kenya mlibania Azam ligi yenu hiyo mbovu na kumpa DSTV)
In Tz DSTV is selling only because of EPL, na sasa wanakutana na ushindani wa kufa mtu toka Azam TV,
Azam TV Won La Liga, next ni EPL, hapo sasa tutaachana na huu upuuzi wa expensive DSTV.
Azam tv have concurred the Market in East Africa in a very shortest time. I know Kenyans will always try to opt for dstv over Azam sababu ya chuki against maendeleo ya Tz.
But just to remind you, Mafuriko huwa hayazuiliki. Now Tz is ahead of Kenya in So many things. We r now producing everything we used to import from Kenya during 1990's and Early 2000's
Usiende nje ya topic my friend mm nataka unioneshe wapi kenya airways wamenunua ndege ya aina yoyote cash....i mean cash......😀😀
najua umehangaika google lakini umekosa hahahahhahaha
Ndege za kenya airways zote wamelease na ukumbuke only 29% is ur shares out of 100%
na ukumbuke air tanzania is 100% gvt owned na kufikia 2019 tutakua na ndege 9 zote tumenunua cash hakuna kulease wala mamake kukodisha
bombardier q300 one
bombardier q400 three
bombardier cs 300 three
Boeing 787 two
Kasome sababu zilizoifanya kq ku run loss 4 yra now ukijua sababu alaf njoo hapaHahahaha..
Chuki yenye unaongelea inaexist only in your brain.
Ukweli ni kwamba Azam is a distant 5th after DSTV, GOtv, Zuku and Startimes.
Nikiwapa sana, sidhani wako na wateja zaidi ya elfu mbili (2000).
Sawa msomi. Kenya Airways kufika penye iko ilikuwa process, sio event.
Many bad decisions over the years.
😀😀😀😀😀😀 pole sana kwa kukosa ndege cash alaf usilie sana kwa loss munayopata sababu kubwa ni tanzaniaHaha majority shares are held by Kenyan individuals and companies, i can see how the ujamaa system has brainwashed you. Everything is owned by the government including the only popular towers
😀😀😀😀😀😀😀😀Hahahaha..
Chuki yenye unaongelea inaexist only in your brain.
Ukweli ni kwamba Azam is a distant 5th after DSTV, GOtv, Zuku and Startimes.
Nikiwapa sana, sidhani wako na wateja zaidi ya elfu mbili (2000).
Sawa msomi. Kenya Airways kufika penye iko ilikuwa process, sio event.
Many bad decisions over the years.
Mbona kashusha bei sana hadi 19500 kwa mwezi?dstv hawezi akakubali EPL ionyeshwe na kampuni nyingine....hiyo ndio pumzi yake kwa sasa.
atapambana kufa kupona ili EPL ibaki kwao maana akinyang'anywa ndio utakuwa mwisho wa upuuzi unaofahamikaka kama dstv east africa.
Don't forget ADN, Big box(safaricom) Bamba Tv and companyHahahaha..
Chuki yenye unaongelea inaexist only in your brain.
Ukweli ni kwamba Azam is a distant 5th after DSTV, GOtv, Zuku and Startimes.
Nikiwapa sana, sidhani wako na wateja zaidi ya elfu moja (1000).
leta uthibitisho kuonyesha sportpesa imekuwa successful tz ndani ya nusu mwaka.
na usilete issue ya sport pesa cup au game ya gormahia fc vs Everton.
nioneshe link kua kenya airways imenunua any aircraft cash nasubiria sasa hvi😀😀😀😀😀
Kenya's Cement production capacity is higher that Tanzania's so don't struggle too much to prove a pointless pointTembo Cement by Mbeya Cement ( LAFARGE)
Made in Tanzania
![]()
![]()
![]()
Can you define Government?Haha majority shares are held by Kenyan individuals and companies, i can see how the ujamaa system has brainwashed you. Everything is owned by the government including the only popular towers
Mkeka bet . ..........pwahahahaSportpesa atapata shida ku succeed pia ..Kuna company moja ya Ki Tz inaitwa Mkeka bet ...iko vzur sana ..pia mbet na merdian kwahyo sportpesa isidhani kuwa Kazi ni rahisi Tz ...hapo cjaizungumzia Premier bet


