ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Sa hii ndio nn hapo unazungumzia ufisadi tu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Sa hii ndio nn hapo unazungumzia ufisadi tu
- Expansion of Dar es salaam port. It on construction as a speaking. Magufuli atawanyima RahaView attachment 546324
Hahahah nipe official link inayoonesha 30 million tons na usipoleta ujue bado unagovi😀😀Largest port in East and central Africa handling 30 million tonnes
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo nisifa au mnachoma kodi ya wananchi
Acha kujitete kuweka food kwenye fridge ni lazma bcoz chakula hakuna sasa😀😀😀😀😀Kusema ukweli most of these big hotels huweka food kwa fridge even for months...naprefer mama nitilie to those five four stars
Niletee link inayosema mombasa ina 30 million tons nasubiri sitakuachia huru😀😀third berth in progress hope unaiona.....40 million by 2020
angalau mmethubutu kuleta picha ya digisuper ikiwa katika mazingira halisi ya kikenya licha ya kwamba mlikuwa mnatoa kauli za kejeli za kudai ni technology ya kizamani wakati sio kweli.
katika kila kundi la vijana 10 wenye umri wa kuajiriwa nchini kenya,wanne kati yao hawana ajira.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hio link 2016 sept....wapi 30 million tons😀Hahahah nipe official link inayoonesha 30 million tons na usipoleta ujue bado unagovi😀😀
Where is 30 million tons my friend😀😀😀third berth in progress hope unaiona.....40 million by 2020
Ni UJINGA NAIROBI KUIFANANISHA NA DAR ES SALAAM... MM NI MTANZANIA HALISI... LKN UKWELI HATUWAZIDI CHOCHOTE NAIROBI.. KUANZIA MIUNDOMBINU, HUDUMA ZA AFYA, NYUMBA BORA ZA MAKAZI, MPANGILIO WA NYUMBA, VIONGOZI BORA NA WASOMI N.K...
KUZALIWA TANZANIA NI LAANA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wambie kaka pia hata sisi tumechoka kuwahadithia hapa kila sikuNi UJINGA NAIROBI KUIFANANISHA NA DAR ES SALAAM... MM NI MTANZANIA HALISI... LKN UKWELI HATUWAZIDI CHOCHOTE NAIROBI.. KUANZIA MIUNDOMBINU, HUDUMA ZA AFYA, NYUMBA BORA ZA MAKAZI, MPANGILIO WA NYUMBA, VIONGOZI BORA NA WASOMI N.K...
KUZALIWA TANZANIA NI LAANA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabla ya tuoneshe wapi 30 million tonsthird berth in progress hope unaiona.....40 million by 2020
Azam anashindana na DSTV. Nilifika Uganda na Rwanda kilakona ni azam TV. Najua kuwa yeye ni HD pekeyake EA. Kwa sasa amepata league ya Spain amesha anza mazungumzo na league ya England aondoe kabisa DSTV Africaangalau mmethubutu kuleta picha ya digisuper ikiwa katika mazingira halisi ya kikenya licha ya kwamba mlikuwa mnadai ni technology ya zamani.
![]()
ila imewachukua takribani miezi mitatu tangu nilipoanza kuwadai picha za digisuper.
kwa taarifa nilizopata toka kwa "beshte" yangu ambaye anafanya kazi kwenye tv station moja hapo Nairobi, ni kwamba digisuper iliyotumika katika IAAF 2017,sio mali ya KBC,KBC ime-hire toka kwa kampuni moja nje ya kenya.![]()
![]()
azam tv's digisuper and advanced outside broadcasting facilities.
in LDC
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
akileta link ni-tag.Niletee link inayosema mombasa ina 30 million tons nasubiri sitakuachia huru😀😀

mnapeana hongera na Mkenya mwenzakoWambie kaka pia hata sisi tumechoka kuwahadithia hapa kila siku