Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona hata nchi ambayo P Square wa nataka kuamia EA ni Tanzania kutokana na sheria wanaotaka kuweka serikali ya Nigeria
Screenshot_2017-07-19-10-06-27.png
 
Kusema ukweli most of these big hotels huweka food kwa fridge even for months...naprefer mama nitilie to those five four stars
Acha kujitete kuweka food kwenye fridge ni lazma bcoz chakula hakuna sasa😀😀😀😀😀
 
angalau mmethubutu kuleta picha ya digisuper ikiwa katika mazingira halisi ya kikenya licha ya kwamba mlikuwa mnatoa kauli za kejeli za kudai ni technology ya kizamani wakati sio kweli.
2d116e83c0adb9cb4c23a744767e8b60.jpg

ila imewachukua takribani miezi mitatu tangu nilipoanza kuwadai picha za digisuper.

kwa taarifa nilizopata toka kwa "beshte" yangu ambaye anafanya kazi kwenye tv station moja hapo Nairobi, ni kwamba digisuper iliyotumika katika IAAF 2017,sio mali ya KBC,KBC ime-hire toka kwa kampuni moja nje ya kenya.

azam tv's digisuper and advanced outside broadcasting facilities.
in LDC

4709a4e57fb0cb4bdd33fd3e9679ff72.jpg
4467b172952000d6fb19de5f81de4106.jpg
6fb12284b92a5827145cb8f9212d2652.jpg
35678ff55915c1c69d15cb2285f6fdda.jpg
bbd9e6d9a246e10d798b51beb41747db.jpg
be780d48180ad6b3ed72f99a3c9096c8.jpg
5a689450b268d457a3260e1b3c77d62f.jpg
25e61ee6b81b1a04748727f97ce24580.jpg
58441b90a7b47a272c9596cc1f41bc74.jpg
20097876909c2ede3636363730451c37.jpg
f550a9a63d0d6c3128ecdcb9bb6fc4e1.jpg
3c745c17f2ff1467d2db81d4c2fdd577.jpg
b206bd01a8b9e5492184a492067ed504.jpg
16425b012758501dbba1ea3566883b7f.jpg
 
Ni UJINGA NAIROBI KUIFANANISHA NA DAR ES SALAAM... MM NI MTANZANIA HALISI... LKN UKWELI HATUWAZIDI CHOCHOTE NAIROBI.. KUANZIA MIUNDOMBINU, HUDUMA ZA AFYA, NYUMBA BORA ZA MAKAZI, MPANGILIO WA NYUMBA, VIONGOZI BORA NA WASOMI N.K...

KUZALIWA TANZANIA NI LAANA..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni UJINGA NAIROBI KUIFANANISHA NA DAR ES SALAAM... MM NI MTANZANIA HALISI... LKN UKWELI HATUWAZIDI CHOCHOTE NAIROBI.. KUANZIA MIUNDOMBINU, HUDUMA ZA AFYA, NYUMBA BORA ZA MAKAZI, MPANGILIO WA NYUMBA, VIONGOZI BORA NA WASOMI N.K...

KUZALIWA TANZANIA NI LAANA..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wambie kaka pia hata sisi tumechoka kuwahadithia hapa kila siku
 
Aza
angalau mmethubutu kuleta picha ya digisuper ikiwa katika mazingira halisi ya kikenya licha ya kwamba mlikuwa mnadai ni technology ya zamani.
2d116e83c0adb9cb4c23a744767e8b60.jpg

ila imewachukua takribani miezi mitatu tangu nilipoanza kuwadai picha za digisuper.

kwa taarifa nilizopata toka kwa "beshte" yangu ambaye anafanya kazi kwenye tv station moja hapo Nairobi, ni kwamba digisuper iliyotumika katika IAAF 2017,sio mali ya KBC,KBC ime-hire toka kwa kampuni moja nje ya kenya.

azam tv's digisuper and advanced outside broadcasting facilities.
in LDC

4709a4e57fb0cb4bdd33fd3e9679ff72.jpg
4467b172952000d6fb19de5f81de4106.jpg
6fb12284b92a5827145cb8f9212d2652.jpg
35678ff55915c1c69d15cb2285f6fdda.jpg
bbd9e6d9a246e10d798b51beb41747db.jpg
be780d48180ad6b3ed72f99a3c9096c8.jpg
5a689450b268d457a3260e1b3c77d62f.jpg
25e61ee6b81b1a04748727f97ce24580.jpg
58441b90a7b47a272c9596cc1f41bc74.jpg
20097876909c2ede3636363730451c37.jpg
f550a9a63d0d6c3128ecdcb9bb6fc4e1.jpg
3c745c17f2ff1467d2db81d4c2fdd577.jpg
b206bd01a8b9e5492184a492067ed504.jpg
16425b012758501dbba1ea3566883b7f.jpg
Azam anashindana na DSTV. Nilifika Uganda na Rwanda kilakona ni azam TV. Najua kuwa yeye ni HD pekeyake EA. Kwa sasa amepata league ya Spain amesha anza mazungumzo na league ya England aondoe kabisa DSTV Africa
 
DSM
 

Attachments

  • Insta-image-19.jpg
    Insta-image-19.jpg
    138.1 KB · Views: 39
  • Insta-image-11.jpg
    Insta-image-11.jpg
    133.7 KB · Views: 41
  • Insta-image-13.jpg
    Insta-image-13.jpg
    113.8 KB · Views: 44
  • Insta-image-15.jpg
    Insta-image-15.jpg
    126.1 KB · Views: 37
  • Insta-image-26.jpg
    Insta-image-26.jpg
    107.7 KB · Views: 42
  • Insta-image-16.jpg
    Insta-image-16.jpg
    107.5 KB · Views: 37
Mambo ya bridges msiseme kabisa nyie ndugu zetu. Nchini kwetu madaraja yamejaa nchi nzima. Kila kona kuna madaraja. Kumbukeni Tanzania inamito mingi, maziwa mengi kwahiyo kama mnataka muanze kujifungia leo nitaanza kuwapiga kwa madaraja. Na vitu made in Tanzania. Poleni sana ndugu zetu.
 
Back
Top Bottom