Kakojoe ukalale...Ni UJINGA NAIROBI KUIFANANISHA NA DAR ES SALAAM... MM NI MTANZANIA HALISI... LKN UKWELI HATUWAZIDI CHOCHOTE NAIROBI.. KUANZIA MIUNDOMBINU, HUDUMA ZA AFYA, NYUMBA BORA ZA MAKAZI, MPANGILIO WA NYUMBA, VIONGOZI BORA NA WASOMI N.K...
KUZALIWA TANZANIA NI LAANA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Edit uzifanye full page mkuuAerial view in LDC
With all road projects Tanzania tufanya ..za kuunganisha mkoa mpka mkoa..na Tz ilivyokuwa kubwa kuliko Kenya .ug rwanda na burundi combined ....tungeamua kuwa wa Binafsi na kuweka Flyovers kwenye cities ..c tungekuwa na flyover elfu naa...Tatizo Wa kenya ni wanafanya maendeleo Nairobi tu ..kwingine maendeleo ni kidogo sana
danganya toto. huo ulikuwa wakati wa Moi wa Centralized Gov't. saa hii tuna katiba mpya na mfumo ni wa County Gov't. kila kona ya nchi inajengwaWa kenya ni wanafanya maendeleo Nairobi tu ..kwingine maendeleo ni kidogo sana
ata mi sjui. i knew Dodoma was the Capital City of Tz ever since Primary School... until I came to JFyour second city is known nowhere beyond Tanzania
danganya toto. huo ulikuwa wakati wa Moi wa Centralized Gov't. saa hii tuna katiba mpya na mfumo ni wa County Gov't. kila kona ya nchi inajengwa
yaani hawatogusa maana hizo fly over zao za ajabu yaani vitu siyo fly over wanaita fly over asa sisi tuna wadoubleSijaona flyover hapo zaidi ya interchange. Hizi ndo flyovers ambazo zinajengwa Dar sio interchange. Pia kuna project nyingine yenye interchange kama zenu 6 na road toll mbili. Nimekuwekea mchoro mwisho. 8 to 6 lanesView attachment 546002 View attachment 546003 View attachment 546004 View attachment 546005 View attachment 546009 View attachment 546006 View attachment 546011
yaani hawatogusa maana hizo fly over zao za ajabu yaani vitu siyo fly over wanaita fly over asa sisi tuna wadouble
ha haaA ....poor kenyan in stupid
ndiyo zao hao.........hofu imewatandaZimejaa wapi miaka yote munanunua tanzania baada kuona mumezidiwa biashara munaanza kufunga biashara😀😀😀😀😀
powa endelea kulaaniwa au nenda ukaishi kenya.....Ni UJINGA NAIROBI KUIFANANISHA NA DAR ES SALAAM... MM NI MTANZANIA HALISI... LKN UKWELI HATUWAZIDI CHOCHOTE NAIROBI.. KUANZIA MIUNDOMBINU, HUDUMA ZA AFYA, NYUMBA BORA ZA MAKAZI, MPANGILIO WA NYUMBA, VIONGOZI BORA NA WASOMI N.K...
KUZALIWA TANZANIA NI LAANA..
Sent using Jamii Forums mobile app
