Kenya huwa mna mbinu chafu kibiashara mkiona product inatishia soko lenu mnapiga marufuku , ila Tanzania imekomaa kiushindani maana product zinaingia zinashindana na za ndani , na za ndani mwisho wa SIKU zina win soko,Eh! unanikumbusha SABMiller!!! S.A hawaezi penya Kenya.
spensa_e