Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eh! unanikumbusha SABMiller!!! S.A hawaezi penya Kenya.
Kenya huwa mna mbinu chafu kibiashara mkiona product inatishia soko lenu mnapiga marufuku , ila Tanzania imekomaa kiushindani maana product zinaingia zinashindana na za ndani , na za ndani mwisho wa SIKU zina win soko,

spensa_e
 
😀😀😀😀😀😀😀
Screenshot_20170719-171322.jpg
 
Kenya huwa mna mbinu chafu kibiashara mkiona product inatishia soko lenu mnapiga marufuku , ila Tanzania imekomaa kiushindani maana product zinaingia zinashindana na za ndani , na za ndani mwisho wa SIKU zina win soko,

spensa_e
hakuna mbinu chafu jomba. hakuna marufuku yoyote iliyotolewa. Kenya tuko na biashara huru, ukichengwa tulia. i did love the fight between EABL and SABMiller tho! prices za beer zilishuka chini. consumers ndio waliofaidi
[HASHTAG]#BuyKenyaJengaKenya[/HASHTAG]

i also love Azam Energy drink here in Kenya but inauzwa vichochoroni. huezi ipata kwa supermarket
 
Back
Top Bottom