Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
- Thread starter
- #29,781
Sasa hizo comparison wapi na wapi. Kenya mwaka mzima Tanzania Nusu mwaka. Au unataka kujifurahisha?
July to April ni miezi mingapi? Au Mbona mwaka haujafika hala wewe unaleta inforation za kenya mwaka mzima au akili zipo tenge kidogo?