Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa wanavizia mtu upost picha 10 zen ndio wao wanakuja na vipicha vi3 angle tofauti watavizungusha kila mmoja na angle yake lkn tukisema weka niweke wanaanza kulia lia
hizo hotel zao zenyewe nyingi wapo zero kwenye service,,,
dian kidogo ndiyo angalau,coz nimoja ya hotel nilizowahi kusafisha macho na mchumba nikapata,,,hizo nyingine ni hovyo tu,,,

picha za wakenya siku zote hazina reality ya mambo
 
Makasiriko pelekea nyanyaako.
SAROVA WHITE SANDS

images - 2021-07-04T171830.556.jpeg
images - 2021-07-04T171822.213.jpeg
images - 2021-07-04T171735.522.jpeg
images - 2021-07-04T171743.218.jpeg
images - 2021-07-04T171727.290.jpeg
 
Jengeni viwanja, alafu tuje tuharibu, lakini najua this time mnaweza tufanyia kama mlivyowafanyia wa SA, mnasaidiwa na uchawi, kila mtu anatambua hilo. Mlileta mganga wa nje kuwatibu, Duh!
yaani wewe story zako ni uchawi uchawi,,,kwani huna maneno mengine ya kuandika.
 
Back
Top Bottom