Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,012
- 11,698
hizo hotel zao zenyewe nyingi wapo zero kwenye service,,,Huwa wanavizia mtu upost picha 10 zen ndio wao wanakuja na vipicha vi3 angle tofauti watavizungusha kila mmoja na angle yake lkn tukisema weka niweke wanaanza kulia lia
dian kidogo ndiyo angalau,coz nimoja ya hotel nilizowahi kusafisha macho na mchumba nikapata,,,hizo nyingine ni hovyo tu,,,
picha za wakenya siku zote hazina reality ya mambo