Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is an international school, not government facilities! 🤣 🤣 🤣
Do they really want to go that way? 😂
1625135047867.png
1625135047867.png


1625134958175.png
 
Tanzania sio banana republic kama kenya ndio maana ukikamatwa unalo.

“Ameiba pochi ya exhibitor Conference centre mlimani city Aliiba nyingine wiki iliyopita. Leo kawekewa mtego kakamatwa kama kuku.”

View attachment 1836577
Anaiba vipi na mnajidai kuwa na security ya maana? 😂 😂 😂 Tena kwenye conference, duh! 🙆🏾‍♂️
 
Tanzania sio banana republic kama kenya ndio maana ukikamatwa unalo.

“Ameiba pochi ya exhibitor Conference centre mlimani city Aliiba nyingine wiki iliyopita. Leo kawekewa mtego kakamatwa kama kuku.”

View attachment 1836577

Tanzanians are the pettiest people 😂 😂
you guys are posting this pic to shame who exactly...her? or Kenyans in general
well, people will tell you that this picture is actually shaming tanzanians themselves, figure out how😂😂
 
Asante kwa kupost estates swali linarudi who own them??? 🤣🤣🤣🤣 waliobakia ni wazee wakurent alaf mliobakia hamuna ndoto ya kumiliki ardhi wa nyumba mpaka munakufa
you shift goals a lot...
first you say hakuna kitu kama hii kenya, ukionyeshwa wasema sio wakenya wanazimiliki, pia hivo hivo ukionyesha utakuja na excuse nyingine so baki tu ukijua kenya is owned by wazungu 😂 😂 😂 😂😂
 
Nendeni nao taratibu wataelewa tu 😂😂

Manzese ya sasa siyo ya mwaka 47. Matajiri walisha nunua maeneo ya watu masikini kwa bei kubwa sana. Wale masikini walihamishiwa pembezoni ya mji huku wakiwa na vitita vya ngawila. Wanaanzisha maisha mapya katika maeneo ya kujinafasi.
 
Tanzanians are the pettiest people [emoji23] [emoji23]
you guys are posting this pic to shame who exactly...her? or Kenyans in general
well, people will tell you that this picture is actually shaming tanzanians themselves, figure out how[emoji23][emoji23]
Sasa unalia nini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
you shift goals a lot...
first you say hakuna kitu kama hii kenya, ukionyeshwa wasema sio wakenya wanazimiliki, pia hivo hivo ukionyesha utakuja na excuse nyingine so baki tu ukijua kenya is owned by wazungu 😂 😂 😂 😂😂
semi illitrate full kilaza wa Tanzania humu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 kazi yake ni rahisi sana..,
 
Watabisha 👇👇🤣🤣🤣🤣

Niliingia kwenye web ya thompson,jamaa ndio wasafirishaji wakubwa wa watalii europe na asia,nikaona sept wanaanza route ya Tanzania,jamaa washalijua soko la utalii letu so kipindi europe inaingia winter time watageukia kwetu,na bongo kitalii ukiingia utoki,warusi walikua hawajui utalii wa Tanzania na waliaminishwa africa not safe,utalii wao ilikua turkey,greece,cyprus,thailand,india,sri lanka n.k,corona ikawafanya waiujue Tanzania,sasa hivi hapo zenj kama upo moscow vile😂,sasa hao thompson waache tu wajilete
 
Back
Top Bottom