kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
dayah express mara nyingi husafiri kwenda lodwar mpaka "kakuma" turkana county.Kenya Buses
Dayah Express. Hahahahaha!!
![]()
![]()
![]()
ni moja ya safari ngumu sana niliyowahi kusafiri kwa gari nikiwa kenya.
barabara ni mbovu sana.pia mda wote abiria wanakuwa na hofu ya kutekwa na bandits toka kabira la pokot au kutekwa na alshabab since owners wa dayah ni wasomali.
dah!!umenikumbusha mbali sana annael.asante sana.