Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_20170716_123908.JPG
IMG_20170716_123844.JPG
IMG_20170716_123823.JPG
IMG_20170716_123721.JPG
 
tunajiuliza kwanini gor mahia, timu kubwa na kongwe ya mpira wa miguu nchini kenya,mpaka leo haina luxury bus la kwake ambalo lipo branded kwa logo za team.

kulikuwa hakuna ulazima wa gor mahia kuja tz kwa usafiri wa ndege.wangekuja tu na basi lao la kisasa.

hapa kwetu LDC,club maarufu ya azam fc,inamiliki luxury bus la kisasa ambalo hutumika kusafirisha wachezaji na makocha ndani ya nchi wakati wa league kuu ya vodacom na nchi jirani za EA.

3b929db8ca6ce1d3590829e6c868c55f.jpg
8f18f611da5c7adc090b210d9ffe454a.jpg


show us photos of a modern luxury bus owned by any football or rugby team in kenya.
If you have to brag about a luxury bus please post a LUXURY BUS! In this case, do a german machine, not chinese. Mercedes benz, scania, volkswagen and company.
One thing i am surprised about almost all tanzanian passenger luxury buses is that they are all chinese. Look at modern coast, sipanish, mombasa raha xenon and all those kenyan passenger buses...
 
hiyo ndio tanzania yetu comrade, ambayo daily mail wameiita "fishing village'',hakika ni fishing village.

wakenya(watu wa nchi ya njaa) pia huiita LDC,hakika ni ldc.


mbona povu bro...sisi huwaita tu Little Delighted Cronies aka LDC. ama ina i maana nyingine.... .lol
 
Naona inakuchomaa sanaaaBRT bus stand.Dar es salaam the leading EA City
downloadfile-42.jpeg
Is this the only gated community in Dar? This estate has been posted like one million times.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
If you have to brag about a luxury bus please post a LUXURY BUS! In this case, do a german machine, not chinese. Mercedes benz, scania, volkswagen and company.
One thing i am surprised about almost all tanzanian passenger luxury buses is that they are all chinese. Look at modern coast, sipanish, mombasa raha xenon and all those kenyan passenger buses...
hili sasa povu....
 
Haha be the judge, or consult bus experts/lovers. Just so you understand, it's like a Toyota probox compared to a Porsche Cayenne S
wakati unatoa povu,tazama tena picha na maelezo niliyoweka katika post yangu.

hasira ikikuzidi,jinyonge au endelea kutoa povu zaidi.

usituletee upuuzi wa sacco hapa.ukiona team ya mpira ina-struggle ku-survive kwa pesa za wanachama wa sacco,hiyo ni team masikini.

tuletee picha za modern luxury bus inayomilikiwa na team yoyote ya mpira wa miguu au kikundi chochote cha michezo nchini kenya.

kama hamna,sema hamna,sio kutuletea vitu vidogo kama sacco.

nakuwekea tena picha nyingine za basi la azam fc.

6755fd0f435d3e93e51a517d36fc451b.jpg
c7a1d75462d65983616a7e14f5a636dc.jpg
ac8597abc595f4c6a9be15f9bf00f2b9.jpg
3ccf30dc30c6a8275e0d396cac09fc43.jpg
082c1004ea3cdbafbdb5522d169a49d5.jpg
bb5d43171da6f6984c9be8bdd9d1bb98.jpg
 
If you have to brag about a luxury bus please post a LUXURY BUS! In this case, do a german machine, not chinese. Mercedes benz, scania, volkswagen and company.
One thing i am surprised about almost all tanzanian passenger luxury buses is that they are all chinese. Look at modern coast, sipanish, mombasa raha xenon and all those kenyan passenger buses...
Mercedez cars are too expensive...there are few of them on the road, marcopolo scania as well atleast are many,chinese are affordable and luxury too,tell me u don't have any and yet yapping abt what we have...that is bullshit,that is luxury ofcz n if u care chew razor blade

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mercedez cars are too expensive...there are few of them on the road, marcopolo scania as well atleast are many,chinese are affordable and luxury too,tell me u don't have any and yet yapping abt what we have...that is bullshit,that is luxury ofcz n if u care chew razor blade

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom