Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

we mhenga wakijaruo label mtasoma nyie saivi sio sisi sasa kama hata tren mloletewa kumbe kazi bure lishaanza kuzingua wakati huo si hatuwasubili tunakimbizana na mda na kila tunachokifanya ni kwajili ya taifa letu sio kwa jili ya mzungu kaa ....lakini pia ni ukwer kwamba ugandan brothers ni bora sana kwetu kama tulivyo kwao hao ni moja ya taifa tunao fanana tabia kama ukalim,upendo mshikamano ambapo ni vitu nadra sana kuvipata kwenu .you need to wake up man

Post sent using JamiiForums mobile app


you insult us.you expect us to give you lollipops and hug you idiot
 
The leading city mzima imemezwa na maji lol
2bba7ac1a1301f42722b1bbf2fdc3476.jpg


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkiitwa fishing village mnateta.....hahaha

Post sent using JamiiForums mobile app
 
you insult us.you expect us to give you lollipops and hug you idiot
tulia unyolewe kaka by the way dini yangu ni UPENDO naamini katika upendo na sio ukristo wala uislam,usilalamike kwamba tunawatukana make tunayo yaongea ni ukwer na ndo mana it pains you kama ni ubrotherhood mnao kwer msingeandika kwa rooney ule ujinga tena mjaruo mmoja anasema kiswahili kinazungumzwa nchi nne tu hajui kwamba ni lungha ya pili kuzungumzwa africa after arabic mwingine kaibuka na hadi kumtaja rais wetu who even you guys mnamtamani .wake up brothers

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Deputy presidential debate tommorow 17th July at the Catholic University
03de00b1e3d3907f173ab524cbde7132.jpg

c08d82b367557e649e861d4fe8de553e.jpg

7bd3ff2e657fa87878ea23042b5bf2e0.jpg


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom