Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
😂😂😂😂😂😂"my mother cooks the best food in the whole world" kinda reasoning 😂😂😂😂😂.,.,
Story kibao, weka Nairobi CBD vs what I posted .. na hiyo ndio maana ya battle otherwise nikudharau kwa kukutukana kama ulivyofanya wewe .. Nairobi Ina CBD kubwa na full of buildings kulinganisha na DSM .? weka picha hapo tulinganishe sie kujifariji na maneno maneno, vipi umekunywa chai kwanza ? 😂😂😂 .Huyu ni kilaza 😂😂😂😂😂😂
Heb tuone uko kwenu kunafananaje, kuna BRT Nairobi.? Au kujisemesha tu 😂😂😂Hvyo navyo viwango[emoji23][emoji23]
Nilikuwepo jana hpa ila nilienda night 😀 amazing very simple yaani
Narudia tena sikiz kwa makini alafu jibu sasa🤣🤣🤣🤣 naona leo umebadilisha na jinaIna maana Kenyans are sharp, vya bure hawataki, ingekua Tz mngepiga makofi na kushangilia, 😂😂😂😂😂., ichoboy01 ungefungua uzi walai kushabikia ujinga😂😂😂😂😂😂
Mwanza 👇👇👇👇 mambo ya usafi achana nayo kabisa 🤣🤣🤣🤣Mombasa..,
View attachment 1786588
View attachment 1786591
Kisumu city
View attachment 1786595
View attachment 1786597
View attachment 1786599
Note: usafi ama uchafu ni vitu very temporary, Leo sehemu inaeza kua safi baada ya nusu saa pakachafuliwa, then baada ya masaa ama siku ikafagiliwa, no substantial argument here..,😂😂😂
Na wewe ni boga lenye maji😁😁😁Huyu ni kilaza 😂😂😂😂😂😂
Unitag plz akifanya hvo🤣🤣🤣Story kibao, weka Nairobi CBD vs what I posted .. na hiyo ndio maana ya battle otherwise nikudharau kwa kukutukana kama ulivyofanya wewe .. Nairobi Ina CBD kubwa na full of buildings kulinganisha na DSM .? weka picha hapo tulinganishe sie kujifariji na maneno maneno, vipi umekunywa chai kwanza ? 😂😂😂 .
Ww tulia muone watalia hawa 🤣🤣🤣 watalazmishwa kulipia kwa lazima yani wataona dunia chunguIla huyu Mchina huyu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo barabara ya juu ikiisha atakuwa busy kurekebisha barabara ya chini! View attachment 1786693
Bora hata hizo pesa zingekuwa zinaingia serikalini kwao [emoji23][emoji23][emoji23]Ww tulia muone watalia hawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] watalazmishwa kulipia kwa lazima yani wataona dunia chungu
Hii topic nishaifunga hakuna ubishi.When it comes to real estate, no city comes closer to Nairobi in Africa.....unity homes tatu cityView attachment 1786706View attachment 1786707