Picha huwa mnapiga upande upande kwnn? Mbn cc tunapiga picha kamili, Kayole uliyoikataa ndiyo hii hapa uhalisia wake [emoji116][emoji116]
Nishamuonesha Kayole yake, wakawaongopee uko Nairaland co humu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Greenspan ipo dohholm na wala sio kayole [emoji846]
View attachment 1707201
PRISM TOWER NAIROBI
View attachment 1707199
View attachment 1707200
2nd tallest bulding in east africa locatated in nairobi
We nae vipicha vyako kila siku hv hv hebu tembea tembea kdg uje na picha zingine.View attachment 1707198
with the colors of our flag
Kuanzia asubuhi mpaka usiku Wakenya picha yao ni expressway, ingekuwa Rais ni Kikwete tungekoma humu ndani ila Magu kuna kitu kawafanya so hii road ndiyo kdg inawapa ahueni ya kushindana na Tz lkn wapi tuko mbele ya muda[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
WACHA PICHA ..HII HAPA VIDEO YA NAIROBI EASTLANDSPicha huwa mnapiga upande upande kwnn? Mbn cc tunapiga picha kamili, Kayole uliyoikataa ndiyo hii hapa uhalisia wake [emoji116][emoji116]View attachment 1707206View attachment 1707207View attachment 1707208
Eti jana alikua ywaleta the star km source yake kisha wakapiga mpka mhuri eti true[emoji1787][emoji1787]
WACHA PICHA ..HII HAPA VIDEO YA NAIROBI EASTLANDS
Angesema hata umoja ingekua Sawa lakini kayole 🙂Nishamuonesha Kayole yake, wakawaongopee uko Nairaland co humu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ila star si gazeti lenyu?🙂au?Eti jana alikua ywaleta the star km source yake kisha wakapiga mpka mhuri eti true[emoji1787][emoji1787]
Lkn mchina nae hatari walai
WACHA PICHA ..HII HAPA VIDEO YA NAIROBI EASTLANDS
Katoa mkopo wa shilingi ngali vilewivu? sisi au nyie mna wivu wa mpaka kutengeneza stats za kupika ati Kenya ina 70 vehicles per capita na Tanzania ina 7 vehicles per capita! Angalia miradi ya kifalafala isiyokuwa planned ahead! Kisa Mchina katoa mkopo!
![]()
Omba drone view uketewe acha kupiga domo sanaAloo huu uchafu huku c mchezo aisee.View attachment 1707185