COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Ebu ni provie Russia is developed??? Unatusumbua na ujinga yakomaoni ya mtu hata wewe unaeza kuandika maoni kuhusu south africa and whatever😀😀😀😀
Ebu ni provie Russia is developed??? Unatusumbua na ujinga yakomaoni ya mtu hata wewe unaeza kuandika maoni kuhusu south africa and whatever😀😀😀😀
America ni maadui na Brazil?,China?,India?...Russia is not developedamerica hawezi sema mazuri kwa adui zake hata siku moja ndio maana unaona technology ya russia inatishia dunia nzima
russia anaogopka kwenye space technology, military technologies, IT, etc
Military wako sawa but general development badonipe sababu russia na china kua G8 and G20
ujinga gani wewe mzee wa iphone 7 unatuletea maoni ya mtu ndio tuamini....Ebu ni provie Russia is developed??? Unatusumbua na ujinga yako
adui ni russia china north korea....ndio maana wakatengeneza bank yao inaitwa BRICSAmerica ni maadui na Brazil?,China?,India?...Russia is not developed
kama nini hebu taja niskieMilitary wako sawa but general development bado
New York GDP = 1.3 trillionUSA GDP 18t
Russia GDP 1.3t
USA military budget $611b
Russia military budget $69b
Acha ushabiki wa kijinga wewe
So mnatetea Russia juu economy yao niya kijamaa....hahahahTofautisha nchi za kibepari na nchi za kijamaa.
Ulipata somo hilo utafunga domo lako.
Ndio maana huko kenya budget ya rushwa ni kubwa kuliko ya maendeleo.
new york 1.2 acha uongoNew York GDP = 1.3 trillion
Russia GDP= 1.3 trillion
sio ya kijamaa vile mzungu anachuki na north korea ndio ujue chuki hio iko kwa russia, america na ujanja wake wote lakini space anamtegemea russiaSo mnatetea Russia juu economy yao niya kijamaa....hahahah
Hahahaha hope mtadiscuss vizur hiyo mambo as fast as u can.. Mungu awasimamieSababu za kuhairisha uchaguzi ni nini? kutoamini ballot paper printing firm. Hio kwako si sababu tosha ya ku nullify hio kandarasi ata kama itachelewesha uchaguzi? Wewe hapo ulipo unaamini Tanzania kulikuwa na free and fair elections mwaka jana? ama nyinyi ndio wale CCM wakisema jump mnauliza how high, nchi zingine tabu kweli. We need a credible election to avoid 'kupigana mapanga' as you put it, sisi sio watu wakuburuzwa na kukubali kila kitu kama nyinyi, kama mbaya mbaya.
Si America..Russia is not developedujinga gani wewe mzee wa iphone 7 unatuletea maoni ya mtu ndio tuamini....
america hata siku moja hawezi sema anything good about russia, russia sio level yakuchezewa
Lakini pia sisi sio watu wa kuburuzwa kujazwa upepo na kuchinjana mapanga kisa Fulani anataka kuwa kiongozi,Sababu za kuhairisha uchaguzi ni nini? kutoamini ballot paper printing firm. Hio kwako si sababu tosha ya ku nullify hio kandarasi ata kama itachelewesha uchaguzi? Wewe hapo ulipo unaamini Tanzania kulikuwa na free and fair elections mwaka jana? ama nyinyi ndio wale CCM wakisema jump mnauliza how high, nchi zingine tabu kweli. We need a credible election to avoid 'kupigana mapanga' as you put it, sisi sio watu wakuburuzwa na kukubali kila kitu kama nyinyi, kama mbaya mbaya.
Haha so North Korea pia ni developed?adui ni russia china north korea....ndio maana wakatengeneza bank yao inaitwa BRICS
Brazil,russia,india,china and south africa
hayo maoni yako wewe ila waliomueka G8 and G20 ndio wanajua zaidiSi America..Russia is not developed
unafkiri kwwa vikwazo vya kiuchumi alivoeekewa north korea yapata 20 yrs sasa angekua bado ana survive kama angekua hana economy hana military, wenzako hawatumii anything from europe au america wanatengeneza vitu vyao ndio maana hawahisi maumivu ya vikwazo vya kiuchumiHaha so North Korea pia ni developed?
Mnatetea wanaujamaa wenzenu....kua na chuki has nothing to do with GDP per capita....China economy yao soon inaeza surpass ya USA...but juu ya population yao per capita itawafanya wakue not developedsio ya kijamaa vile mzungu anachuki na north korea ndio ujue chuki hio iko kwa russia, america na ujanja wake wote lakini space anamtegemea russia
Hahahaha walijifanya Wajanja ngoja tuwakazie afu tutaona mwisho wake wa jinga Hao nyang'auziiipale LDC "inanyorosha" DC
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
njaa haina rafiki wala bouncer.....lazma unyooke kama mchele wa basmat😀😀😀pale LDC "inanyorosha" DC
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()