The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,850
Basi utazunguka umuhumu hahahahaaa, mzee wa apartments [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wewe bongolala kazi yako ni kulialia tu kama mbwa koko. Tukileta picha za the greener sides of Nairobi, unakerwa na kusema Nairobi ni misitu tu na kwamba haijajengeka. Tukiletaa sehemu ziko na density ya juu unaanza kulalama eti kazi ni kuleta tu apartments. Sasa unataka tulete picha za dreamhouses wakati sisi hatuna huo mfumo? [emoji23]
Tuletee hizo apartments zenu tuone. Not just selected buildings. Tuletee picha Kama hizi hapa chini of different places in Dar
View attachment 1692606View attachment 1692608View attachment 1692611
hili nalo ni swala la miaka 3 tu,story itabadilika huku.Na nyinyi muanze kupanga zile dream houses zenu. Na msisahau kutumia bati zizizoliwa na rust [emoji23] [emoji23]
Huyo anasumbuliwa kiakili achana naye. Eti Dar kuna apartments nyingi kushinda Nairobi! 😂 Joke of the dayThis a huge lie and you know
Hebu leta picha ya hzo 12 u/c.
Ndugu mbona usiwe mkweli? Mbona zimetapakaa tu kila mahali save for the rich neighborhoods?hili nalo ni swala la miaka 3 tu,story itabadilika huku.
hizo shanties unazoziona magomeni,vingunguti na mbagala zintoweka kwa kasi ya mwanga.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na nyinyi muanze kupanga zile dream houses zenu. Na msisahau kutumia bati zizizoliwa na rust [emoji23] [emoji23]
dsm ni jiji la ujamaa,sio ajabu kukutana na nyumba ya kawaida kabisa masaki,mbweni,sala sala,mbezi beach.Ndugu mbona usiwe mkweli? Mbona zimetapakaa tu kila mahali save for the rich neighborhoods?
Mkweli huyu hapa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]Ndugu mbona usiwe mkweli? Mbona zimetapakaa tu kila mahali save for the rich neighborhoods?
Na nyinyi muanze kupanga zile dream houses zenu. Na msisahau kutumia bati zizizoliwa na rust 😂 😂
Mzee Simba 254 kazi yangu vipi mbona umeikimbia.
Ndo nawe umetafuta slums in Dar [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wenzako wote humu wanajua no slums in Tz.
That's 2017 and you can clearly see the experts said were growing faster and take into consideration dar has a larger surface areaMkweli huyu hapa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]View attachment 1692629
So leta yako mpya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]That's 2017 and you can clearly see the experts said were growing faster and take into consideration dar has a larger surface area
Anakuogopa sn [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mzee Simba 254 kazi yangu vipi mbona umeikimbia.
Stop living a lieNdo nawe umetafuta slums in Dar [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wenzako wote humu wanajua no slums in Tz.
Btw hakuna dongo km hilo huku labda hilo dongo ulikute Nairobi, so rudisha ulikoitoa hyo picha.[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
Unaitwa huku [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Stop living a lie
Mzee Simba 254 kazi yangu vipi mbona umeikimbia.
Simba nilikutumia vitu kwenye gitlab.com, wiki mbili sasa.Stop living a lie
Kwani ww siri ya mkeo unaeza itoa hadharaniInformation yetu iko readily available kwenye mitandao. Yenu mnafungia
Project hii hapa clone halafu uifanye nakusubiri mzeeNdo nimerudi nilikua break