Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nmekwambia hatujui utuambie nnani,,wazungukazunguka mwishowe wauliza swali hilohilo..una akili kweli wewe?
akuambie nani wakati unaniambia ni bank ya kenya??? anaitwa prince rahim aga khan
nimemaliza umeskia punga wakimombasa
sio kila cha mwanaume kiwe chenu😀😀😀😀😀😀😀😀
2014%200117%20DTB%20Nairobi%20-%20PRAK.jpg
 
Don't go there because
Kenyan Bank's Presence in Tanzania is OVERWHELMING.
Here's a list. Kenyans mtanisaidia hapa zile nimesahau.

The BANK and No. of Branches they have in tanzania

1)EQUITY BANK- 15 branches
2) KCB BANK - 12 branches
3) I&M BANK- 8 branches
4)CBA BANK 11 branches
5) NIC BANK - 5 branches
6)DTB BANK- 27 branches

And nearly 90% banks in tanzania are foreign.

I don't think there is any Tanzanian bank in kenya.
nakusubiri ndugu tumalizane vzr kabisa leo😀😀😀😀😀😀
 
akuambie nani wakati unaniambia ni bank ya kenya??? anaitwa prince rahim aga khan
nimemaliza umeskia punga wakimombasa
sio kila cha mwanaume kiwe chenu😀😀😀😀😀😀😀😀
2014%200117%20DTB%20Nairobi%20-%20PRAK.jpg
bwege kabisa wewe...sasa hii picha yake akifungua a new branch in kenya ndio proof kua ni owner wa dtb?..limbukeni ni limbukeni
 
bwege kabisa wewe...sasa hii picha yake akifungua a new branch in kenya ndio proof kua ni owner wa dtb?..limbukeni ni limbukeni
nimekwambia hio ni picha yake kama aga khan ni ya kenya sawa nakubaliana nawewe😀😀😀
ingekua aga khan ya kenya simgekua munatembelea matako sasa hvi
 
nimekwambia hio ni picha yake kama aga khan ni ya kenya sawa nakubaliana nawewe😀😀😀
ingekua aga khan ya kenya simgekua munatembelea matako sasa hvi
sasa unapinga nni ama unataka uletewe mpaka site umetolea hio picha?
 
Kenyans kwa mashauzi tuu,, mashaallah
Yaan wako vizuri kwa kupenda sifa aseeee day after day tunazidi kuwajua in deep
 
nimekwambia kama aga khan ni ya kenya nakubaliana na wewe😀😀😀😀
bure kabisa wewe..watu wanaongelea mambo ya dtb we umeng'ang'ana na agha khan..nani amesema agha khan niya kenya?despite agha khan being a share holder at dtb,agha khan and dtb are two different things..focus on dtb and leave agha khan alone
 
bure kabisa wewe..watu wanaongelea mambo ya dtb we umeng'ang'ana na agha khan..nani amesema agha khan niya kenya?despite agha khan being a share holder at dtb,agha khan and dtb are two different things..focus on dtb and leave agha khan alone
is the owner of dtb thats all
 
Back
Top Bottom