Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu atabisha mpaka kesho kutwa
Tuletee neno kenya kutoka japan
Mbona yote ya kijapana yapo na yanakua translated the same, lkn kw kenya likosekane...
Neno honda kw kijapan nasubiria uniletee la kenya Walker255 nakusubiria
20210125_234903.jpg
 
A wapi
Tangia juzi upo jukwaani sema tu ukweli ulizipiga leo wakati ulienda kuzurura weekday si uko desperate sana mzee baba.
Sio kweli tangu juzi niko bize sn napata mda kdg ndo mana nmeingia hapa nakuta comment zaidi ya 300 kuna mpuuzi alikuwa anatukana humu ningeenda naye sambamba, ila ngj dawa yake ipo jikoni ataingia 18 tu.
 
mtu mmoja awatag watu wa ATCL na Magu.. wenzetu wanachanja mbuga tu
Uganda siyo tishio, wanaweza peleka ndege zao popote wanapotaka bila shida.

Wakubwa wanammaindi sana Magu hasa kwenye ile sheria yake ya madini na gesi. Ndiyo maana hana uhusiano mzuri na vibaraka wao (kama huyu wa kaskazini na yule kimbau mbau). Kumbuka walimletea wale jamaa wa Kibiti na wale wa Msumbiji) na kukamata ndege yetu SA. Sisi hatutaweza kutanua wigo haraka kama wenzetu.
 
komora096 Coco Master Teargass
COLLOH-MZII is the same person.
Angalieni Account zote hazipo online kwa ukiangalia time last seen ni almost ni muda uleule.
Sikubaliani na wewe. Teargass hajui kiswahili sana. Itakuwa kwamba yeye ni mtu aliyelelewa bara. Sisi watu wa bara kiswahili chetu huwa ni kibaya sana unless tukipende na tuamue kujifunza, huwa anaongea kiingereza full-time. Kiswahili kilimshinda kabisa. Japo yupo sawa kwenye kuwakosesha usingizi. Sijui alienda wapi. komora096 naye ni mtu wa pwani, maana kiswahili chake ni kizuri na laini.
 
Back
Top Bottom