Wanafiki katika ubora wao..
Leo si ulitembea sana


Hahahaaaa nmezipiga juzi izo beib, sema nilikosa muda wa kuzi upload humuLeo si ukitembea sana![]()


Nnazo nyingi nitakuwa nazitupia kdg kdg mfanoLeo si ukitembea sana![]()










A wapiHahahaaaa nmezipiga juzi izo beib, sema nilikosa muda wa kuzi upload humu![]()

Choreni lanes basi, uzembe hadi CBD bana









Sio kweli tangu juzi niko bize sn napata mda kdg ndo mana nmeingia hapa nakuta comment zaidi ya 300 kuna mpuuzi alikuwa anatukana humu ningeenda naye sambamba, ila ngj dawa yake ipo jikoni ataingia 18 tu.A wapi
Tangia juzi upo jukwaani sema tu ukweli ulizipiga leo wakati ulienda kuzurura weekday si uko desperate sana mzee baba.
Wacha ujinga hapo inapita brt so panafumuliwa kote apo.Choreni lanes basi, uzembe hadi CBD bana
Nafikiri ni huu mtaa ndipo itapita BRT au wajuzi mnasemajeWacha ujinga hapo inapita brt so panafumuliwa kote apo.


Uganda siyo tishio, wanaweza peleka ndege zao popote wanapotaka bila shida.mtu mmoja awatag watu wa ATCL na Magu.. wenzetu wanachanja mbuga tu
Awamu ya tatu inapita hapo Azikiwe na kukata Bibi Titi kwenda Nyerere.Nafikiri ni huu mtaa ndipo itapita BRT au wajuzi mnasemaje
Duh!!CBD barabara zimepauka kweli jamani
Wacha ujinga hapo inapita brt so panafumuliwa kote apo.



Kumbe ilikua unanijibu kw mihemko tu ili uhalalalishe uzembe wenu
Sikubaliani na wewe. Teargass hajui kiswahili sana. Itakuwa kwamba yeye ni mtu aliyelelewa bara. Sisi watu wa bara kiswahili chetu huwa ni kibaya sana unless tukipende na tuamue kujifunza, huwa anaongea kiingereza full-time. Kiswahili kilimshinda kabisa. Japo yupo sawa kwenye kuwakosesha usingizi. Sijui alienda wapi. komora096 naye ni mtu wa pwani, maana kiswahili chake ni kizuri na laini.komora096 Coco Master Teargass
COLLOH-MZII is the same person.
Angalieni Account zote hazipo online kwa ukiangalia time last seen ni almost ni muda uleule.
Hili ni jengo gani? Nipe jina na urefu.