Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nikuulize dogo, mbona matajiri wenu wanatuma watoto wao kukuja kusomea Kenya as from shule za msingi, secondary, na higher education? utapata many Tanzanians as far as Eldoret, na wengine wanapelekwa Uganda!? kulikoni Tz? Kelele tu but nothing!
Kwamba Watz wengi wapo nje kusoma kuliko Tz, hv unajisikia ujinga unaoutoa?

Btw, Watz wana pesa sn wanapeleka watoto wao abroad kusoma, kwetu hyo ni km prestige, wanapeleka USA, China, India, Uganda, Malawi, SA etc, na mara nyingi kigezo ni ugumu wa elimu ya Tz, na kati ya wote hao watoto ambao huwa wakirudi wanaonekana hamna kitu ni wanaoenda Kenya zen wanafuatia wa Uganda.
 
Kwamba Watz wengi wapo nje kusoma kuliko Tz, hv unajisikia ujinga unaoutoa?

Btw, Watz wana pesa sn wanapeleka watoto wao abroad kusoma, kwetu hyo ni km prestige, wanapeleka USA, China, India, Uganda, Malawi, SA etc, na mara nyingi kigezo ni ugumu wa elimu ya Tz, na kati ya wote hao watoto ambao huwa wakirudi wanaonekana hamna kitu ni wanaoenda Kenya zen wanafuatia wa Uganda.
na hata tumeacha siku hizi kupeleka watoto huko.

yaani ukipeleka mtoto kenya unaonekana mshamba,una mawazo ya kizamani.
 
Mazinde Juu High school Tanga

unnamed (14).jpg
unnamed (15).jpg
27287.jpg
16733.jpg
unnamed (18).jpg
unnamed (16).jpg
sddefault.jpg
unnamed (17).jpg
 
Kwamba Watz wengi wapo nje kusoma kuliko Tz, hv unajisikia uharo unaoutoa?

Btw, Watz wana pesa sn wanapeleka watoto wao abroad kusoma, kwetu hyo ni km prestige, wanapeleka USA, China, India, Uganda, Malawi, SA etc, na mara nyingi kigezo ni ugumu wa elimu ya Tz, na kati ya wote hao watoto ambao huwa wakirudi wanaonekana hamna kitu ni wanaoenda Kenya zen wanafuatia wa Uganda.
Explain why your education ranks lower in EAC?., na wengi mnasomea TZ coz ya uwezo hafifu, na masikini wenu wa kutupwa pia ni wengi EAC, na SADC! kelele tu but zero results!
 
Umempa jibu zuri sn kwmb aache pang'ang'a aweke picha
Umeona wameshatimka 🤣🤣🤣🤣

Mkoa wa Pwani wenye most luxurious schools bado hatujafika wala Dar! Dodoma tu hatujapita vizuri, Mwanza na penyewe bado

Shule za serikali mpaka saivi ninazo zaidi ya 80 kwenye makabrasha zile konki 😅😅😅
 
kizungu tumekipuuza kabisaa.

mfano wewe unaongea kizungu hujawa mzungu,na unalinda getiniso what special about kizungu
Nalinda getini of course 😂. Hata sasa hivi nimepewa uhamisho hadi Karen 😂 😂
Screenshot_20210105-140937.png

Wewe endelea kung'ang'ana na life hapo Gongo la mboto 😂
 
umeenda kuongea na umbwa kiingereza,maana kulinda gate ya karen huko kenya ni tittle
😂 😂 😂... unaumwa na maisha ya mtu usiyemfahamu hivi kwanini? Mbwa wako wengi tu sana huku. Ama nikutumie picha? 😂 😂
 
... unaumwa na maisha ya mtu usiyemfahamu hivi kwanini? Mbwa wako wengi tu sana huku. Ama nikutumie picha?
sasa umepanda cheo kwenda kulinda gate za karenkuna ubaya nikikusifia!!!

nilikuwa najaribu kuona umuhimu wa kiingereza practically kwako wewe,umekiri kwamba unalinda gate karen nairobi,japo unajua kiingereza
 
Back
Top Bottom