Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wanaitwa pro 24 djz...

ukikukata na hiki kikosi kenya nzima inapata stroke[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787]

ni wakali wa kuchafua kisha wanasepa

Nimesikiza mpka nacheka walai[emoji23][emoji23]
Km hzo ndio mixtapes waambieni km watasubiri sana basi
 
Kweya muziki wako local sana.

Kuanzia kuimba, kucheza,hata clubs staili zao bado sanaa.....
bongo tunawabeba sanaaaa..
Na vile walivo washamba wakisikia msanii wa Naijeria au Tanzania anapiga show kenya nchi nzima inasimama. Afu hapa anaulizia mixtape.
We unataka ulinganishe mziki wa kenya na wenu club, tena umzima..
Unataka kulinganisha club bangers na bongo fleva[emoji23][emoji23][emoji23]

Kudance pia hamtuwezi, mnatubeba kw lipi wakati wetu wa ndani wanalipwa vizuri kuliko nyie mnavyowalipa wasaani wenu wa ndani[emoji23][emoji23]

Bado sijasahau mixtapes za bongo[emoji23][emoji23]
 
images (5).jpeg
images (1).jpeg
 
Kuna kipindi chao nilikuaga naangalia zamani maishamagic east kinaitwa
#Turn up
yani mimi sihusiki lakini mpaka naona aibu madogo wanajiona wanaswagger eti. Ila ni vituko. Ningekua mkenya sijui ingekuaje. Very local afu wanacheza ovyoo.
Kw movie pia tanzania hakuna quality movies[emoji23][emoji23]
Huaga mnatushinda tu kw akili zenu ila kimataifa bado sana..
Yani nyie kw sasa jivunieni lile kundi lenu la wasafi tu ila kwngine kote hamtuwezi..
Mnafikiria superhighway ni kulima barabara na kutandaza lami tu
 
Nimesikiza mpka nacheka walai[emoji23][emoji23]
Km hzo ndio mixtapes waambieni km watasubiri sana basi
hao ni kiboko......

na hizo zinaitwa music beats square 01.....huwa zinasiku zake ukitaka kupata mikwaju ya maana kuliko pia utapata.....
ushazoea kukariri nyimbo najua hapo umetoka zero hakuna ngoma hata moja unayoijua.....hapo unakula beats visual tu

southern crash hizo mazee
 
We unataka ulinganishe mziki wa kenya na wenu club, tena umzima..
Unataka kulinganisha club bangers na bongo fleva[emoji23][emoji23][emoji23]

Kudance pia hamtuwezi, mnatubeba kw lipi wakati wetu wa ndani wanalipwa vizuri kuliko nyie mnavyowalipa wasaani wenu wa ndani[emoji23][emoji23]

Bado sijasahau mixtapes za bongo[emoji23][emoji23]
Msanii wenu gani analipwa vizuri?? Hata Uganda wamewazidi kwa muziki!!

Wasanii wenu wanalia njaa kila siku we unasema wanalipwa vizuri.

Ongea polepole maana wakikusikia shauri yako!!

They always wish to enter in Tanzania market to earn enough money ww unasema wanalipwa vizuri.
 
Kw movie pia tanzania hakuna quality movies[emoji23][emoji23]
Huaga mnatushinda tu kw akili zenu ila kimataifa bado sana..
Yani nyie kw sasa jivunieni lile kundi lenu la wasafi tu ila kwngine kote hamtuwezi..
Mnafikiria superhighway ni kulima barabara na kutandaza lami tu
Me sio mtu wa movie sana za ki africa so sijui kuhusu maswala ya movie.

but am sure hata kenya hawana movie inayoeleweka!!

Nchi pekee africa wanaweza sema wameadvance kwenye movies ni S. AFRICA.
Nyingine izi wakipata movie moja wanajisifu alafu movie zenywe haziuzi.
Kufanya movie sometimes kunahitaji pesa inayotosha budget za ministry hata 3 za kiafrica so sio kazi simple.
 
hao ni kiboko......

na hizo zinaitwa music beats square 01.....huwa zinasiku zake ukitaka kupata mikwaju ya maana kuliko pia utapata.....
ushazoea kukariri nyimbo najua hapo umetoka zero hakuna ngoma hata moja unayoijua.....hapo unakula beats visual tu

southern crash hizo mazee
Naona umeanza kujifurahisha sasa, hapo mzee nakwambia hamna kitu.
Labda kuwasaidia tu wapambane labda wataja kuwa vizuri siku moja, ila km hao ndio ma dj wenu basi imekula kwenu..

Ndio manake huwezi kuta mixtapes za ma djs kutoka bongo youtube live kumbe ni utopolo mtupu..
Na ile siku hao wataenda live youtube watakua wanajisumbua bure, wataharibu bando tu
 
Msanii wenu gani analipwa vizuri?? Hata Uganda wamewazidi kwa muziki!!

Wasanii wenu wanalia njaa kila siku we unasema wanalipwa vizuri.

Ongea polepole maana wakikusikia shauri yako!!

They always wish to enter in Tanzania market to earn enough money ww unasema wanalipwa vizuri.
Narudia tena, east africa hakuna nchi inayolipa wasaanii wake wa ndani mpunga mzuri km kenya..

Alafu mbna unaongea vice verser, msanii wa bongo ndio hutamani sana kuingia soko la kenya..bila kenya east africa hutoki kimziki na hilo wala halina pingamizi, wasanii watz ndio wanawaza kupiga show kenya kila kuchao jomba..
 
Naona umeanza kujifurahisha sasa, hapo mzee nakwambia hamna kitu.
Labda kuwasaidia tu wapambane labda wataja kuwa vizuri siku moja, ila km hao ndio ma dj wenu basi imekula kwenu..

Ndio manake huwezi kuta mixtapes za ma djs kutoka bongo youtube live kumbe ni utopolo mtupu..
Na ile siku hao wataenda live youtube watakua wanajisumbua bure, wataharibu bando tu
yaani. hao wamechukua tuzo US zaidi ya mara 8,,hapo hakuna cha banjuka wala nini...

ila fanya kuchungulia instagram huyo demu mwenzako aluyekuzidi maarifa na kubeba tuzo..

list ipo ndefu sana ya ma djz

soon nitakuproov wrong.....utaelewa tu nimeanza hivyo kwanza next huyo huyo uliyemcheka nitakurudishia tena kwa sasa kuwa mpole
 
yaani. hao wamechukua tuzo US zaidi ya mara 8,,hapo hakuna cha banjuka wala nini...

ila fanya kuchungulia instagram huyo demu mwenzako aluyekuzidi maarifa na kubeba tuzo..

list ipo ndefu sana ya ma djz
Nakwambia hao ma djs munawajua nyinyi pekeyenu
 
Back
Top Bottom