Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Yani kenya nzima ni construction site.Westlands to limuru highway 10 lanes(24km)
View attachment 1656366
Yani kenya nzima ni construction site.Westlands to limuru highway 10 lanes(24km)
View attachment 1656366
Wapi hii kaka







Hapa kitu hawajui ni kwamba swevice road hata hii barabara ya kibaha zipo na sisi tukihesabu service road inakua 10-12 lanes. Shida ni kwamba hapo kwenye picha hawaoni sevice road.Hesabu hzo lanes katikati zikizidi 8 mm natoka jamii forum🤣🤣👇👇👇
View attachment 1656386
Jamani mwezi huu tunapokea ndege mpya alaf mwakani june airbus mbili mpya hehehe
Elimu yao bro haikuwafundisha kua wakweli imewafundisha kua wezi na kusifia vitu hawana na hawatokua navyo🤣🤣 mkenya yuko radhi afe njaa ila avae sutiHapa kitu hawajui ni kwamba swevice road hata hii barabara ya kibaha zipo na sisi tukihesabu service road inakua 10-12 lanes. Shida ni kwamba hapo kwenye picha hawaoni sevice road.
Lini inaingia coz test flight tayar kwao hukonadhan itapokelewa Dodoma
Malindi 🤣🤣🤣🤣Wapi hii kaka![]()
Mukienda mwenzini na slums mutamuachia nani ???Southern bypass, bongo wakijenga kenya tutakua tumefika kwa mwezi.View attachment 1656414
Wa kwetu tunajivunia omolloUna
unahangaika na wa kwetu,wenu je!?
Mukienda mwenzini na slums mutamuachia nani ???